Join our club!

Invisible

Robot
Feb 11, 2006
9,075
7,876
Habari...

Ungependa kushirikiana kwa karibu na JF Administration crew? Ungependa kuchangia utaalam wako kwa manufaa ya wengine? Unawazia kuisaidia Jamii kwa kushirikiana na wenzako na kubadilishana utaalam?

Basi tunakuhitaji!

Jamii Forums kama chombo kinachojitegemea ingependa kukupa fursa ya kushirikiana na wenzako kubadilishana utaalam na kukuwezesha kujipatia kipato (kama ukiweza).

Haijalishi ni utaalam gani unao, unahitajika! Kuna mradi mkubwa utaanza karibuni na kwa manufaa yako na jamii nzima basi wasiliana nasi ili tunapoanza mradi huu uwe sehemu yetu!

Utapewa nafasi hata ya kuwa na tovuti binafsi, barua pepe binafsi n.k. Utapewa nafasi ya kukutosheleza kwa kadiri ya mahitaji yako.

Dhamira ni kuwapa fursa wote wenye kuhitaji fursa hizi na kuzikosa kwa sababu moja ama nyingine.

Maelezo zaidi na kwa kina yatakujieni lakini kwa wale wenye dhamira ya kupata nafasi mbalimbali ama wenye nia ya kuwa nasi katika Management wanakaribishwa.

Andika barua pepe kwenda kwa invisible@jamiiforums.com ukitoa ombi, pendekezo la nini wataka kufanya na kivipi na nini wahitaji.

Hili ni tangazo lisilojitosheleza kwa sababu maalum. Wasiliana nasi kwa ufafanuzi zaidi.

Barua pepe zote zitajibiwa!
 
Habari...

Ungependa kushirikiana kwa karibu na JF Administration crew? Ungependa kuchangia utaalam wako kwa manufaa ya wengine? Unawazia kuisaidia Jamii kwa kushirikiana na wenzako na kubadilishana utaalam?

Basi tunakuhitaji!

Jamii Forums kama chombo kinachojitegemea ingependa kukupa fursa ya kushirikiana na wenzako kubadilishana utaalam na kukuwezesha kujipatia kipato (kama ukiweza).

Haijalishi ni utaalam gani unao, unahitajika! Kuna mradi mkubwa utaanza karibuni na kwa manufaa yako na jamii nzima basi wasiliana nasi ili tunapoanza mradi huu uwe sehemu yetu!

Utapewa nafasi hata ya kuwa na tovuti binafsi, barua pepe binafsi n.k. Utapewa nafasi ya kukutosheleza kwa kadiri ya mahitaji yako.

Dhamira ni kuwapa fursa wote wenye kuhitaji fursa hizi na kuzikosa kwa sababu moja ama nyingine.

Maelezo zaidi na kwa kina yatakujieni lakini kwa wale wenye dhamira ya kupata nafasi mbalimbali ama wenye nia ya kuwa nasi katika Management wanakaribishwa.

Andika barua pepe kwenda kwa invisible@jamiiforums.com ukitoa ombi, pendekezo la nini wataka kufanya na kivipi na nini wahitaji.

Hili ni tangazo lisilojitosheleza kwa sababu maalum. Wasiliana nasi kwa ufafanuzi zaidi.

Barua pepe zote zitajibiwa!

.......mmmhhh......ngoja niandae proposal ya kujiunga na hiyo club....asante invisible kwa ukarimu wako
 
unatafuta mamoderators au?
NO,

I mean HAPANA!

Nawashukuru watu takribani 22 ambao mshatuma mapendekezo yenu na wengine maombi yenu kujiunga na Club yetu.

Nyote mtajibiwa, na mnakaribishwa sana!
 
Habari...

...........Barua pepe zote zitajibiwa!

Invisible, unatumia automail responder nini?! hivi utakaa chini na kujibu barua pepe zote kweli zikianza ku-flood inbox yako?... nakutakia mema tu katika hili, ila nakukumbusha kuwa jamvi hili linawanachama zaidi ya 5000! Na wote hawachelewi kukuandikia kwa mkupuo. Ningelikuwa mimi hapo juu ningelisema: Barua pepe zote zitakazodhihirika zinalengo la kushirikiana zitajibiwa!

Ni maoni yangu tu Robot, usijeanza kunitisha na vimilio vya kama kitu kinataka kulipuka vya kimashine mashine tu miye kama za yule jamaa mweusi kwenye Police Academy!!... :)
 
Invisible, unatumia automail responder nini?! hivi utakaa chini na kujibu barua pepe zote kweli zikianza ku-flood inbox yako?... nakutakia mema tu katika hili, ila nakukumbusha kuwa jamvi hili linawanachama zaidi ya 5000! Na wote hawachelewi kukuandikia kwa mkupuo. Ningelikuwa mimi hapo juu ningelisema: Barua pepe zote zitakazodhihirika zinalengo la kushirikiana zitajibiwa!

Ni maoni yangu tu Robot, usijeanza kunitisha na vimilio vya kama kitu kinataka kulipuka vya kimashine mashine tu miye kama za yule jamaa mweusi kwenye Police Academy!!... :)
I can afford to reply to em mails I receive from all folks :)

BTW: Si wote wangependa kuandika... Believe me, zaidi 50% ya mails nilizopata zina mlengo wa kutaka kuingia katika hii club na wote wanaonesha wana profession tofautitofauti. Hii itasaidia nyanja zote kuweza kutoshelezwa (labda).

Bado fursa iko wazi
 
I can afford to reply to em mails I receive from all folks :)

BTW: Si wote wangependa kuandika... Believe me, zaidi 50% ya mails nilizopata zina mlengo wa kutaka kuingia katika hii club na wote wanaonesha wana profession tofautitofauti. Hii itasaidia nyanja zote kuweza kutoshelezwa (labda).

Bado fursa iko wazi


Sawa Robot, ahsante kwa kuonesha una nia njema ya kuzijibu. Ngoja nami nijikite kuandika moja. Natumaini itakuwa moja kati ya hizo 50% zenye mlengo wa kuingia katika club.

Naomba ukiona email kwenye inbox yako ina ******* nyingi ujue ni mimi, pls usiitupe kwenye junk mail. Ahsante.
 
Habari...

Ungependa kushirikiana kwa karibu na JF Administration crew? Ungependa kuchangia utaalam wako kwa manufaa ya wengine? Unawazia kuisaidia Jamii kwa kushirikiana na wenzako na kubadilishana utaalam?

Basi tunakuhitaji!

Jamii Forums kama chombo kinachojitegemea ingependa kukupa fursa ya kushirikiana na wenzako kubadilishana utaalam na kukuwezesha kujipatia kipato (kama ukiweza).

Haijalishi ni utaalam gani unao, unahitajika! Kuna mradi mkubwa utaanza karibuni na kwa manufaa yako na jamii nzima basi wasiliana nasi ili tunapoanza mradi huu uwe sehemu yetu!

Utapewa nafasi hata ya kuwa na tovuti binafsi, barua pepe binafsi n.k. Utapewa nafasi ya kukutosheleza kwa kadiri ya mahitaji yako.

Dhamira ni kuwapa fursa wote wenye kuhitaji fursa hizi na kuzikosa kwa sababu moja ama nyingine.

Maelezo zaidi na kwa kina yatakujieni lakini kwa wale wenye dhamira ya kupata nafasi mbalimbali ama wenye nia ya kuwa nasi katika Management wanakaribishwa.

Andika barua pepe kwenda kwa invisible@jamiiforums.com ukitoa ombi, pendekezo la nini wataka kufanya na kivipi na nini wahitaji.

Hili ni tangazo lisilojitosheleza kwa sababu maalum. Wasiliana nasi kwa ufafanuzi zaidi.

Barua pepe zote zitajibiwa!

Hii inasound vizuri invisible lakini labda niseme kweli. Sijaelewa vizuri. Can you explain to me cleary ni nini hasa na ni kwa wale walio na vipaji fulani waombe kwa kueleza vipaji vyao? Naelekea sijaelewa vizuri. Nisaidie kwa kunielewesha zaidi. where posible ni PM
 
Nina amini kwenye msafara wa mamba na kenge watakuwemo. Kazi unayo ya kutenganisha mamba na kenge!

But keep it up, some people were born for others while some crooks were born for their vijisenti and bellies!! Malipo ni hapa hapa duniani asikudanganye mtu. Kandamiza mzigo tu!
 
where posible ni PM

NA MI UNI PM MEKUUUUUUUUU ULAKUSO KANYIIIIIIIIIII
 
Keep it up br mungu akujalie na wema na mawazo yako
ila nilikuwa naombi si pia wangeweka proffessional zao hapa ubaoni live zingewa kuwasaidia wengi zaidi na natumaini watafanya hivyo br,hii itakurahisishia hata wewe pia
mungu akubariki soon ntakuwa mmoja wao!!
 
Maombi in here nop not good ideal...most of us use hidden names...and puting our proffesional...let it be the way Invisible started..we can make it through this.

This ideal came at the right time...but we are some how far apart from each other.But invisible might know us to some extent...he have met them face to face.So will be easy to him...to extract and validate us.

Regards
Buswelu
 
Last edited:
Maombi in here nop not good ideal...most of us use hidden names...and puting our proffesional...let it be the way Invisible started..we can make it through this.

This ideal came at the right time...but we are some how far apart from each other.But invisible might know us to some extent...he have met them face to face.So will be easy to him...to extract and validate us.

Regards
Buswelu

Mimi nafikiri Invisible anafanya SENSA fulani anonymously
 
Back
Top Bottom