Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,138
Mkaguzi na mthibiti mkuu wa mahesabu ya serikali amezidi kutufumbua macho wizi na utapeli wa ruzuku za vyama vya upinzani kwa kutumia kodi za watanzania..wakati utouh akilalamiikia wizi na utapeli wa mabilion kuhusu ruzuku amemalizia kwa kusema
""sh million 56.9 zilitumiwa na na msajiliwakati hazikuhusuiana na maswala na shuguli za vyama vya siasa..mkuu huyo amesema ofisi ya msajili wameulizwa kuhusu matumizi haya na kushindwa kuyatolea majibu ..............,,,,............,,,,,.................,,,,,...........................................
Huyu ndie msajili baada ya kuona vyama vinajizoelea billion kadhaa bila mahesabu na yeye akaona ajipendelee jamani huu wizi utaisha lini na kwa nini wanaishia kuandikwa magazetini hatua za kisheria azichukuliwi hawa matapeli mnawalinda kwa nini???
""sh million 56.9 zilitumiwa na na msajiliwakati hazikuhusuiana na maswala na shuguli za vyama vya siasa..mkuu huyo amesema ofisi ya msajili wameulizwa kuhusu matumizi haya na kushindwa kuyatolea majibu ..............,,,,............,,,,,.................,,,,,...........................................
Huyu ndie msajili baada ya kuona vyama vinajizoelea billion kadhaa bila mahesabu na yeye akaona ajipendelee jamani huu wizi utaisha lini na kwa nini wanaishia kuandikwa magazetini hatua za kisheria azichukuliwi hawa matapeli mnawalinda kwa nini???