commited
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 1,626
- 870
- Thread starter
- #21
Polisi wanavuliwa nguo hadharani vibaya inasemekana mwaka jana huko singe urambo polisi walimuua mtu aliyeko umbali wa mita 100,na walimuua kwa makusudi.. mzee huyu (Markosi Albanie) anadai ametoka iringa, na mbeya leo yuko na cd ambao ni ushahidi tosha wa watu waliokuwa wakitoa ushuhuda wa wazi juu ya polisi kuhusika katika mauaji huko iringa