<br />Mbona anaongea kisharo baro sana?
<br />Mkuu! Huku kwe2 mtaa wa Sakina tangu jana saa 17:00 tar 14/08/2011 jioni ha2kuwa na umeme mpk hivi leo 15/08/2011 saa 20:25 usiku ndiyo 2mepata umeme na kwa kweli kufika ghetto nikakuta msajili wa vyama ndani ya ITV lakini naona kama leo ana MAONI mazuri inayoniingia kidogo. Ila hebu 2mfuatilie kwnz
<br />Hakuna umeme
<br /><br /><br />
<br /><br />
<br />
Kwetu ni siku ya4 wanagawa giza
<br /><br /><br />
<br /><br />
du polen cku ya 4giza mnambunge kwel?
<br />kajibu ki ccm ccm sana, hatuna uhuru jamani msishangae
<br /><br /><br />
<br /><br />
<br />
Yupo tena makini