Linyakalumbi
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 263
- 107
Moja ya Pumba alizotema ni hii namnukuuuu jamani: "...Halafu tena timu haiwezi fanya mazoezi kwenye kiwanja cha mechi kabla ya kipenga kupulizwa".mwisho wa kumnukuu.Alitaka kutuaminisha kwamba anajua sana soka.Ukweli ulivyo,Sote hasa tunaopenda Mpira wa miguu yaani soka tunajua kwamba Timu ngeni (Visiting team) hupewa siku moja kabla kutumia uwanja wa mechi husika ili wauzoeee. Kwa hiyo mpaka hapa huyu Babu ni mwongo.So let Chadema na vingine vya upinzani kama vipo waendelee tu wao si wageni bwana maana wao Ze-Magambazi tayari walikuwa wanamiliki mzigo,wametema mzigo wanaogopa harakani za Chadema.Kweli Magamba wameweka rehani kila kitu hadi Sheria walizotunga wenyewe ikiwemo umri wa kustaafu wamezipeleka Mfungoni Mwezi mtukutu.