Kiraka
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 3,834
- 3,076
Ukiangalia kwa makini watu hawa wanafanana kwa tabia na hulka zao...
1. Lowassa 2. John Pombe na 3.Mrema
Kwenye misifa wanaweza hata kutukana wazazi wao..... Eti Mrema nae ghafla anaona posho hazikutolewa kwa kuangalia hali ya Watanzania walio wengi... wakati alikuwa mtetezi namba moja wa posho za Wabunge... siasa hizi......:A S embarassed:
1. Lowassa 2. John Pombe na 3.Mrema
Kwenye misifa wanaweza hata kutukana wazazi wao..... Eti Mrema nae ghafla anaona posho hazikutolewa kwa kuangalia hali ya Watanzania walio wengi... wakati alikuwa mtetezi namba moja wa posho za Wabunge... siasa hizi......:A S embarassed: