Kwa thread ya nani unataka kuedit??Thubutu weka yakwako yenye kichwa cha habari unachotaka wewe!!Copyright mzee heshimu mawazo ya wenzako na sikuona yakwako ndiyo bora kuliko waliokutangulia!Mod. Samahani: kuna makosa.
Kichwa cha habari ni Mh. Magufuri Mtu wa Data Kichwani.
Hahaha!!! Mwongoza kipindi jana alifunikwa na Magufuli alikuwa anakimbilia kuuliza maswali kuhusu wakandarasi wakati Magufuli alikuwa anataka kwanza watu wajue hali halisi ya barabara Tanzania ikojeKipindi hiki ni upuuzi
Mwongoza kipindi bogus hajui kuuliza maswali
Kipindi hiki ni upuuzi
Mwongoza kipindi bogus hajui kuuliza maswali