Monitoring thread: John Pombe Magufuli katika Awamu ya Nne

Bwana Kazi,'
Kweli lazima kwanza tujue ukweli wa jambo. Hawa Madiwani kwa nini wanakurupuka hivi sasa? Rose Garden imekuwepo muda mrefu tu na huwa tunaenda kujirusha pale kwa kuku wa mrija wakati tukiwa Dar.
 
habari kutoka kwa mpiga picha wa muungwana Mweshimia Magufuli aliambiwa na muungwana kuja Air port kumuaga ili aonekane amerudi na yuko hai huyu bwana ajapona vizuri lazima aende muhimbili kwa check up zaidi,

madiwani wamuache apumzike kidogo.
 
kwa watoto wa mjini wanaovinjari pale ROSE GARDEN wanajua rose garden imekuwepo tangu zamani pale nje ya uzio wa karakana za posta na simu...miaka ya karibuni lile eneo limenunuliwa na bwana ZK ambaye anataka kina MLATIE watoke pale nje ya eneo alilonunua ili aweze kujenga mradi mkubwa wa mamilioni ya dola utakaoajiri watu 3,000.

sasa huu ugomvi umezusha tag of war kati ya watu wanaomtetea MLATIE na wapambe na marafiki wa ZK...hakuna anayetaka kushindwa,sasa naona hawa manispaa wanamtetea ZK offcourse wanayo sababu ,huyu ni mmoja wa chanzo chao kizuri cha mapato kupitia mrahaba na kodi za mabango anazowalipa kila mwezi,pili amewashawishi kwa business plan na artistic impression aliyowapa ya kuendeleza hilo eneo....na lazima hapa mkumbuke kuwa uhusiano wa ZK na manispaa umepanuka hadi wamempa kile kituo maarufu kipya CHA MWENGE akiendeshe kibiashara ili awalipe mrahaba.
 
kazi ndio kipimo cha utu na wewe pia unawasingiza hawa madiwani kwani una uhakika gani na madai yako ya kusema kwamba wao "inawezekana" wakawa ndio waliomzulia kifo ? kwani wao ndio waliopma sumu huko dodoma ? ukijibu swali hili utajua kwamba hao madiwani walikuwa wanafanya nothing bali kazi yao kama halmashauri, over all magufuli hakuwa cooperative kuhusu hili suala, so no props to magufuli 4 now, kwani hapa amechemsha. ndio maana kuna kitu kinaitwa "chain of management",

Bacj 2 jasusi, hili sio suala la kukurupa kwani lilikuwa limeshapangwa tokea zamani, hivyo makufuli akaweka mafunguo yake akampa jamaa hati na hivyo kusimamisha utaratibu wa manispaa.. good luck ya'll ! am out !!
 
kweli hii thread iunganishwe...nime note kwamba mara nyingine watu wanaanzisha thread ambazo tayari zipo..ambaapo cha kufanya was supposed to post in the existing thread...i think sometimes we become so desperate..so naomba admn akiona hivyo aziunganishe thread mapema ili watu waendelee kukata ishu...
 
i co-sign u all kwamba hii threat ionganishwe na ile nyingine!! Hey, Lunyungu kwa hiyo JK alisema mwenyewe kwamba aambiwe kama mwanakjj yupo ? duh, sasa nimeamini kwamba JK anapitia hapa JF !!
 
Hii tabia ya watu kufungua double threads imezidi sana! Kabla mtu hujaanzisha thread kwa nini usisome kama tayari hiyo topic ipo uchangie tu huko?
 
nadhani bora sheria ifuate mkondo wake

Kama ROSE GARDEN ilijengwa kimakosa sidhani hii ni issue ya kudiscuss.

kwanini watu hawajadili au kujiuliza mara mbili wakati wasio na mapesa wanavunjiwa maeneo mbali mbali pale mjini?


Magufuli lazima abebe lawama na kama hawezi au afya yake INAMUATHIRI kutoa maamuzi then its time he pass the buck

Kuna wengi ambao wako tayari kuziba pengo lake

hii issue ni ya hao yamaa wa UJENZI,ARDHI na IDARA ZA SERIKALI ambazo zinahusikana mambo haya
 
kazi ndio kipimo cha utu na wewe pia unawasingiza hawa madiwani kwani una uhakika gani na madai yako ya kusema kwamba wao "inawezekana" wakawa ndio waliomzulia kifo ? kwani wao ndio waliopma sumu huko dodoma ? ukijibu swali hili utajua kwamba hao madiwani walikuwa wanafanya nothing bali kazi yao kama halmashauri, over all magufuli hakuwa cooperative kuhusu hili suala, so no props to magufuli 4 now, kwani hapa amechemsha. ndio maana kuna kitu kinaitwa "chain of management",

Bacj 2 jasusi, hili sio suala la kukurupa kwani lilikuwa limeshapangwa tokea zamani, hivyo makufuli akaweka mafunguo yake akampa jamaa hati na hivyo kusimamisha utaratibu wa manispaa.. good luck ya'll ! am out !!

Mimi simtetei mtu yeYote wala simzushii mtu yeyote bali ninachosema NI kwamba hii Rose Garden kama ni hiyo ninayoifahamu mimi ilikuwepo hata Magufuli haja kuwa waziri wa hiyo wizara au isije ikawa tunazungumzia Rose nyingine na siyo ninayoifahamu mimi? na kama ni hiyo iliyekuwepo kabla ya magufuli kuwa katika hiyo wizara ni nani alitoa kibali ijengwe?Viwanja vingi vinavyotolewa na Halmashauri za miji madiwani wanahusika na mara nyingine wanatoa viwanja sehemu ambazo hazitakiwi kutolewa.Kama ni Hamlmashauri ndiyo walitoa hicho kiwanja walitoaje sehemu ambayo haikutakiwa kujengwa? Kwa hivyo katika kuwajibishwa isiwe magufuli na wao wakawa hodari wakuliongelea hilo bali wawajibishe hata wale ambao walitoa kiwanja sehemu ambayo haikutakiwa kujengwa kwa upande wao yaani halmashauri na hapo ndiyo maamuzi yatakuwa hayana mushikeli.Na huyu magufuli kama naye amepindisha sheria hilo swala lilipofika mezani kwake na yeye abebe msalaba wake kwa kupotosha maamuzi.
 
Kada Mpinzani!
sawa madiwani wamefanyakazi yao,LAKINI SENTESI YANGU YA AWALI NIMENUKUU HAPO CHINI,Na sijathibitisha kwamba wao ndiyo wamemzushia kifo bali ktk kulitazama hilo na kulihusisha na siasa.Na nilisema bayana sina hakika (ASSUMPTIONS)Halafu hili la sumu sijui limetokea wapi mbona Tracking health record yake inasemakana ana tatizo la moyo na ni la muda mrefu.Nukuu yangu hiyo hapo chini endelea.
"Lakini nikiliangalia hili swala ndiyo nachelea kusema isije ikawa ndiyo hao kwa tofauti zao walimzushia kifo.Kwa siasa za bongo ya leo inawezekana japo sina hakika ni katika kulitazama jambo hili kwa pande zote."
 
Hawa madiwani inawezekana wanatumiwa na mtu au kikundi ili kumchafulia Magufuli. Huyu ni Waziri ambaye haelewi inachokifanya? give me a break, there must be something cooking. Hebu mwenye data za powers za manispaa Vs waziri azimwage hapa na hizo za longo longo za hiyo ROSE GARDEN tuangalie.
 
Hii tabia ya watu kufungua double threads imezidi sana! Kabla mtu hujaanzisha thread kwa nini usisome kama tayari hiyo topic ipo uchangie tu huko?

acha zako wee, watu wameshasema ziunganishwe sasa wewe kuwasema watu ndio solution au fujo ?
 
Mimi simtetei mtu yeYote wala simzushii mtu yeyote bali ninachosema NI kwamba hii Rose Garden kama ni hiyo ninayoifahamu mimi ilikuwepo hata Magufuli haja kuwa waziri wa hiyo wizara au isije ikawa tunazungumzia Rose nyingine na siyo ninayoifahamu mimi? na kama ni hiyo iliyekuwepo kabla ya magufuli kuwa katika hiyo wizara ni nani alitoa kibali ijengwe?Viwanja vingi vinavyotolewa na Halmashauri za miji madiwani wanahusika na mara nyingine wanatoa viwanja sehemu ambazo hazitakiwi kutolewa.Kama ni Hamlmashauri ndiyo walitoa hicho kiwanja walitoaje sehemu ambayo haikutakiwa kujengwa? Kwa hivyo katika kuwajibishwa isiwe magufuli na wao wakawa hodari wakuliongelea hilo bali wawajibishe hata wale ambao walitoa kiwanja sehemu ambayo haikutakiwa kujengwa kwa upande wao yaani halmashauri na hapo ndiyo maamuzi yatakuwa hayana mushikeli.Na huyu magufuli kama naye amepindisha sheria hilo swala lilipofika mezani kwake na yeye abebe msalaba wake kwa kupotosha maamuzi.

Hapo nimekupata, in short, hao madiwani sidhani kama wanaweza wakawa wanasema uongo juu ya magufuli unless wawe tu nia yao kumchafulia jina lake, lakini kama madiwani wamesema uongo basi nina hakika MAGUFULI atanyanyuka na kuitetea nafsi yake besides that kama ataamua kukaa kimya basi lazima tujue kwamba "something is fishy" kuhusu huyu magufuli. ni kweli magufuli ni mchapakazi lakini kama hii issue ni kweli, then basi hapo kakosea. tusubiri wiki ijayo habari moto moto !!!!
 
KadaMpinzani,
Kweli kabisa maneno yako... sheria msumeno hakuna kubebana hata kidogo kwa sababu mhusika ni Magufuli. Pia muhimu ieleweke hicho kibali kilichozungumziwa ni kibali gani?... maanake Rose Garden ilikuwepo kabla hajawa waziri ktk wizara hii... kuna kitu tumeshindwa kukielewa hapa. Pia kuna mtindo wakuuza ardhi kwa wamikili kiasi kwamba baadhi ya nyumba za msajiri na NHC ni za watu binafsi siku hizi wakati nyingine bado zinamilikiwa na serikali. hatufahamu utaratibu ambao unatumika kuhakikisha kila raia mzawa anapata nafasi sawa ktk mnada huu wa umilikaji wa ardhi.
 
Kadiri ninavyojua mimi, Rose garden ilianzishwa kama bar isiyorasmi pale ilipo, and by then (10yrs ago) it wasnt a big deal at all.

Mwenye bar anajua kabisa yupo pale isivyo halali. Na ndio maana, licha ya kipato kikubwa kinachopatikana ndani ya bar hii, still hakuna uwekezaji mkubwa uliofanywa pale, in terms of infrustructures.
Kama jina lake lisemavyo, Rose garden is only about bar counters, kitchens, hair salons (for men and women) and car wash area, all in a beautiful garden by the road.

Mwenye bar anajua kabisa kuwa yupo pale kimjinimjini tu, sasa kama manispaa ya kinondoni tayari sasa ina plan ya maana ya nini cha kufanya eneo hilo, basi sheria ichukue mkondo wake. But kama manispaa bado haina cha kufanya eneo hilo kwa sasa, basi mwenye bar aachiwe aendelee kufanya biashara.
Bar hiyo ipo hapo for many years, why kalele nyingi sasa hivi, na si wakati ilipokuwa changa. Something is fishy here.....

Mimi sipendi tabia ya maofisa wa serikali kuvunja mali za watu pasi na plan, pasi na sababu ya maana. Wakijidai kufuata sheria ambazo wao wenyewe nao wameshiriki kikamilifu kuzivunja kwa miaka mingi.

Ningependa kuona, wakati wananchi wanaharibiwa mali zao kwa kuvunja sheria, basi na maafisa wa serikali za mitaa/kuu nao wafukuzwe kazi na kufunguliwa mashitaka kwa kutozilinda au kukiuka sheria hizohizo walizovunjwa wanachi. Ndio kabisa, sababu IT TAKES TWO TO TANGLE......

Hauwezi kuniambia kwa miaka 10 ya Rose garden manispaa ilikuwa haoni kama ipo pale kinyume cha sheria.

Ujumbe kwa mwenye bar, kama wenye nchi yao wameona umekwishachuma vya kutosha na sasa inabidi uende zako, basi nawe uondoke utafute eneo lingine la kuwekeza. Haya uliyajua fika kama yatakufika, hata kama kwa kuchelewa.... You should have had Plan B brother.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom