John Paul II - Picha ya leo

Kuruhusu condom for male partners only... :confused2: :noidea:
Kwangu there is an implicit recognition of gay sex, au?

It does not mean that...the way catholic church is, if he allows anything like that, that could be a strong reason to bring down his papacy. Kuna kitu kinaitwa dogma ambacho kinalindwa kwa macho mawili mawili na curlias za Vatican. Papa alionyesha kukubali kwamba in some cases, kulinda partners na (naomba uelewe partners ndani ya kanisa katoliki siyo male na male...ni mwanamke na mwanaume), mwanaume anaweza kutumia condomu kama mke wake au yeye mwenyewe ameathirika.

Kuna dhambi zinasamehewa, ila dhambi ya kuruhusu gays ndani ya kanisa itakuwa ni dhambi ya aina yake.
 
It does not mean that...the way catholic church is, if he allows anything like that, that could be a strong reason to bring down his papacy. Kuna kitu kinaitwa dogma ambacho kinalindwa kwa macho mawili mawili na curlias za Vatican. Papa alionyesha kukubali kwamba in some cases, kulinda partners na (naomba uelewe partners ndani ya kanisa katoliki siyo male na male...ni mwanamke na mwanaume), mwanaume anaweza kutumia condomu kama mke wake au yeye mwenyewe ameathirika.

Kuna dhambi zinasamehewa, ila dhambi ya kuruhusu gays ndani ya kanisa itakuwa ni dhambi ya aina yake.
Ndugu yangu kumbuka ile context vizuri tafadhali
Alikua anaongea kuhusu MALE PROSTITUTES (gays)
Akasema kutokana na hali ya HV ilio kwa hao watu
basi wanaweza kuruhusiwa kutumia condom kazini
But alikataa kabisa Condom kwa family planing :twitch:
Naelewa kuna dogma, but those are his own views
 
Sidhani na sitarajii hata siku moja Kanisa Katholiki liruhusu kutumika kwa kondom.
Sababu ni kuwa kanisa likiruhudu kondom maana yake limevunja amri ya sita ya Usizini.
Kanisa linataka au linaruhusu mtu mwenye ndoa tu ndio afanye tendo la ndoa na sio kama wengi wanavotafsiri isivyo.
 
Kwa mtazamo wangu sidhani kama atapatikana a catholic Pope kama POPE JOHN PAUL 11 katika karne hii. Ilikuwa ni zawadi si tu kwa kanisa katoliki bali kwa ulimwengu mzima. RIP POPE JOHN 11.
Pope Francis,amechukua nafasi,MUNGU ni mwema.
 
Back
Top Bottom