LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Kuna jambo amelitenda na ndiyo majibu yakarudi kwa hali hiyo. MUNGU AWATIE NGUVU FAMILIA,NDG,JAMAA NA HATA MARAFIKI,Ameeeeen!
r.i.p
dah i hatar
natabiri kuwa RPc atsema ifuatavyo kuhusu kifo cha marehemu nanukuru" kwa kuwa chadema juzi juzi tu walikuwepo hapa kwenye maandamano yao na moja ya hoja ambazo sugu alitoa ni kuwa viongozi wakija wazomewe na ikiwezekana wapigwe mawe, sasa wananchi wameamua kutumia risasi badala ya mawe" Mungu hawezi kumuhifadhi mahali pema peponi maana alikuwa mwizi, jambazi,mnafiki na fisadi, ushahidi.., kitendo tu cha kuwa mwanachama wa chama cha magamba ni ushahidi tosha
Mungu muadhibu zaidi huyo gamaba amina
Rungwe bado hakuna nguvu ya chama fulani, huko CCM bado imeshika hatamu, kama ni sababu za kisiasa basi ni za ndani ya CCM yenyewe au katika utendaji wa kazi zake.
Mbaya sana,poleni rungweMwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe, Mh. Mwankenja ameuawa kwa kupigwa risasi usiku wa leo majira ya Nne na dk 10 nyumbani kwake Kiwira. Taarifa za awali zinaonyesha kuwa marehemu Mwankenja alipigwa risasi akiwa ndani ya gari lake mara baada ya kuwasili nyumbani kwake.
Wauaji walitoweka mara baada ya kukamilisha mauaji yao na kabla ya watu kukusanyika. Hadi sasa sababu za mauaji hayo hazijafahamika. Hata hivyo baadhi ya viongozi waliofika nyumbani kwa marehemu usiku huu wanahofu mauaji hayo kuhusiana na masuala ya kisiasa.
Marehemu John Mwankenja
Poleni familia ya marehemu, lakini hapo kuna jambo la kujifunza kidogo katika hili. Kifo chaake ni lazima kitakuwa kinahusiana na mambo ya siasa.
Badala ya kuwapa pole wafiwa wewe unaleta siasa zako za kizushi. Hivi waliokula njama za kumuua Mbunge wa Busega ni Chadema? Waliomuua aliyekuwa meya wa Mwanza ni Chadema? Waliomuua Kolimba na Amina Chifupa ni Chadema? Nilishasema na ninarudia tena kuwa mwana CCM ni lazima uwe chizi na akili zako uhamishie tumboni. Vua gamba hilo ebo! Hata kutoa pole tu kwa familia ya marehemu. R.I.P Mwankenja Mungu atawahukumu waliopanga na kutekeleza mauaji yako kwa malipo ni hapa hapa dunianiWakati CHADEMA wanabadilisha rangi za bendera yao na kuweka rangi nyekundu ndani ya bendera mpya, watu wengi tulikuwa hatujawaelewa .
Ila hivi sasa kwa yanayo jidhihirisha ni wazi kabisa maana ya rangi hiyo inaonekana wazi. Kwani matukio ya hivi karibuni ya kutaka kumuua Mh. Mbunge wa Tarime kwa kumpiga mawe , na jana kumpiga risasi Mwenyekiti wa halmashauri ya Rungwe, yaonekana kabisa kuna mkono wa CHADEMA na kuna kikosi maalum cha mauaji kimeundwa kwa ajili ya kutekeleza yale yaliyomo kwenye bendera yao ya alama nyekundu ambayo ni mauaji na umwagaji damu
CCM wameanza kuvuana magamba ka staili hiyo?