Miss Parliament
Senior Member
- Jun 27, 2011
- 107
- 48
Na bado anatuhumiwa kuingilia uchaguzi wa Uvccm,anawasaidia wagombea gharibi bilali na thabit jecha kombo,leila na jamal kuunda makundi.anamhamasisha mgombea wa bara.huko uvccm kuna muhusu nini,kuna baadhi ya wabunge wanalalamika sana huku.wanasema huyo kijana wenu anaingilia mambo ya ndani ya watu wengine.ben kufanya hizo vurugu una baraka za chama?