Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
haswaaaa ulipokuja wewe ndipo nilipo pataka
mimi nimemfananisha na wengine CHADEMA nimemuona yeye zaidi
tazama
1Zitto -yuko 'tarnished' na makundi ya CHADEMA
2.Mbowe- the same,background yake 'haiko convincing,hana kipya..
3. Slaa- yuko tarnished kwa waislam,na skendo ya ndoa yake..
4.Lissu- yuko so 'mwanaharakati' kuliko kuwa mwanasiasa...ana ugomvi na CUF na NCCR tayari
hawezi ku UNITE
5..Mdee- hayuko on her own ki chama,anaeegemea kundi..fulani
umeonaaa??????
Kwani lazima awe anatoka Bungeni?
Na kama wenziwe wana F kwa vigezo vyako, tumchukue yeye anaekaribia F na kumuondoa kiongozi anaekubalika kwa kuwa tu yeye si F?