John Mnyika awe mwenyekiti CHADEMA...

haswaaaa ulipokuja wewe ndipo nilipo pataka
mimi nimemfananisha na wengine CHADEMA nimemuona yeye zaidi
tazama
1Zitto -yuko 'tarnished' na makundi ya CHADEMA
2.Mbowe- the same,background yake 'haiko convincing,hana kipya..
3. Slaa- yuko tarnished kwa waislam,na skendo ya ndoa yake..
4.Lissu- yuko so 'mwanaharakati' kuliko kuwa mwanasiasa...ana ugomvi na CUF na NCCR tayari
hawezi ku UNITE
5..Mdee- hayuko on her own ki chama,anaeegemea kundi..fulani

umeonaaa??????

Kwani lazima awe anatoka Bungeni?

Na kama wenziwe wana F kwa vigezo vyako, tumchukue yeye anaekaribia F na kumuondoa kiongozi anaekubalika kwa kuwa tu yeye si F?
 
Kwa siasa za Tz ambazo zimetawaliwa na migawanyiko hata ndani ya upinzani wenyewe ni ndoto kufikiri kuwa maandamano ndiyo njia pekee ya kuleta mabadiliko. Mapinduzi ya kweli huletwa kwa nguvu ya pamoja ya vyama vya upinzani, vyama vya wafanyakazi, mashirika binafsi, NGOs nk. Kwa sera za Mbowe za kuandamanisha wamachinga nadhani ataandamana hadi mwaka 2050 kabla ya kuona mafanikio. Na ni jana tu Rais amepigia msumari wa mwisho kuhusu katiba mpya.

Hakuna mtu anayesema maandamano ndiyo njia pekee. Ni mojawapo ya njia na ni njia iliyo effective sana.
 
I would give it only 5 more years apate political experience and make a daring suggestion kuwa agombee urais. he is bold enough for me, na akiahidi jambo analifuatilia, analitenda na muhimu zaidi anatoa feedback!

Tusaidie kwa kutupa aliyoyatenda hadi sasa
 
Boss

Hebu tusaidie mpaka sasa amefanya kitu gani outstanding bungeni?

Jimboni kwake jee, kuna mambo gani ya msingi ametekeleza?
Kama unafuatlia Bunge kwa ukaribu, utabaini kuwa hoja anazozijenga, nyingi huwa zinakubaliwa. kwa mara ya mwisho leo, katoa hoja ya kuongeza vifungu kwenye maazimio ya Bunge katika ripoti ya kamati ya jairo na Spika hakuwa na hoja za kukataa hoja za mnyika, hata alipojaribu kutaka kuzinyoosha, Mnyika alitoa hoja ambazo zilimwacha spika hana cha kusema kiasi cha kuzikubali moja kwa moja.

Kinachofurahisha zaidi ni jinsi alivyo na uwezo mkubwa wa kujenga hoja. Mark my words HOJA. haja jazba na anachokisema kinaeleweka kwa sababu kina mantiki.

Ukija Ubungo, anaweza kuwa asionekane amefanya chochote cha maanz phisically lakini nakumbuka kuna daraja (sikumbhuki vema lipo wapi lakini linaunganisha barabara ya huo Kikuu) bila harakati za Mnyika nadhani mpaka leo lingekuwa halijajengwa na linakuwa linaleta usumbufu mkubwa sana. lakini, Mnyika ni kati ya wabunge wachache sana ambao wana kawaida ya kuwazungukia wananchi wao, kabla ya kikao chochote cha bunge ili kukusanya maoni kulingana na hoja zitakazojadiliwa, na pia kurudi kwa wananchi baada ya kikao kutoa feedback. Sijaona wabunge wengi wakifanya hivyo.

Kusema kweli nimekubali utendaji na ujengaji hoja wa Mnyika.
 
totally agree with u. naona lema hutaki hata kumuongelea. i hope haupotezi ubunge soon. his dirty background is not a very good political foundation japo anakubalika
haswaaaa ulipokuja wewe ndipo nilipo pataka
mimi nimemfananisha na wengine CHADEMA nimemuona yeye zaidi
tazama
1Zitto -yuko 'tarnished' na makundi ya CHADEMA
2.Mbowe- the same,background yake 'haiko convincing,hana kipya..
3. Slaa- yuko tarnished kwa waislam,na skendo ya ndoa yake..
4.Lissu- yuko so 'mwanaharakati' kuliko kuwa mwanasiasa...ana ugomvi na CUF na NCCR tayari
hawezi ku UNITE
5..Mdee- hayuko on her own ki chama,anaeegemea kundi..fulani

umeonaaa??????
 
Kama unafuatlia Bunge kwa ukaribu, utabaini kuwa hoja anazozijenga, nyingi huwa zinakubaliwa. kwa mara ya mwisho leo, katoa hoja ya kuongeza vifungu kwenye maazimio ya Bunge katika ripoti ya kamati ya jairo na Spika hakuwa na hoja za kukataa hoja za mnyika, hata alipojaribu kutaka kuzinyoosha, Mnyika alitoa hoja ambazo zilimwacha spika hana cha kusema kiasi cha kuzikubali moja kwa moja.
Kinachofurahisha zaidi ni jinsi alivyo na uwezo mkubwa wa kujenga hoja. Mark my words HOJA. haja jazba na anachokisema kinaeleweka kwa sababu kina mantiki.
Ukija Ubungo, anaweza kuwa asionekane amefanya chochote cha maanz phisically lakini nakumbuka kuna daraja (sikumbhuki vema lipo wapi lakini linaunganisha barabara ya huo Kikuu) bila harakati za Mnyika nadhani mpaka leo lingekuwa halijajengwa na linakuwa linaleta usumbufu mkubwa sana. lakini, Mnyika ni kati ya wabunge wachache sana ambao wana kawaida ya kuwazungukia wananchi wao, kabla ya kikao chochote cha bunge ili kukusanya maoni kulingana na hoja zitakazojadiliwa, na pia kurudi kwa wananchi baada ya kikao kutoa feedback. Sijaona wabunge wengi wakifanya hivyo.
Kusema kweli nimekubali utendaji na ujengaji hoja wa Mnyika

Umewahi kufika Ubungo wewe?

Na ujengaji hoja si hoja. Hilo bunge limeshawahi kuwa wajengaji hoja wazuri wengi tu na Mnyika si wa kwanza wala wa mwisho. Ujengaji hoja si maendeleo.
 
Acheni hizo; mnyika anafaa kuwa katibu na si mwenyekiti wa chadema. Mtu potential kwa uenyekiti ni zitto kabwe. Tuache majungu vijana na tuangalie mbele. Kwanza zitto ana elimu nzuri sana na anaelewa fika wapi pa kuipeleka chadema. Zitto anahitaji tu kufundwa na akina mbowe, slaa, kitila, tundu, safari na wengineo. Na mimi nawaambieni kabisa; zitto ni mtu muhimu sana kwa future ya chadema. Tuache mambo ya mkumbo kwa kumuhukumu mtu kwa mambo ambayo si ya uhakika. Wanachadema mngejaribu sana kufikiria namna ya kujenga chama na si kupikiana majungu humu.na msipokuwa makini, sisi wana-ccm tutazidi kuwachanganya ili muone zitto hafai lkn tunajua zitto ni tishio kwetu kwa sasa na hata baadaye.hayo ni mawazo yangu tu.
 
Gaijin
Tunisia na Tanzania kuna fanana???

Tunisia waliwahi hata kuwa na uchaguzi?
na maandamano ya Tunisia ni ya wananchi na sio chama cha siasa

na hakuna uhakika wamefanikiwa

usually 'mapinduzi' huleta 'ma dkteta wapya' tu...lets wait and see..

Tunachozungumzia ni role ya maandamano kwenye kuleta mabadiliko. Hata kama atazaliwa dikteta mwengine lakini haipingiki kuwa maandamano yameleta mabadiliko
 
Hakuna mtu anayesema maandamano ndiyo njia pekee. Ni mojawapo ya njia na ni njia iliyo effective sana.

Nakubaliana nawe kabisa. Jana nilikuwa naangalia news BBC wale Wamisri wamerudi tena pale Tahriri kuendelea kuonyesha kutoridhika na Serikali iliyopo madarakani. Yaani umati wa watu uliokuwepo pale mpaka mwili unakusisimka na kuomba labda itafika siku Watanzania tutaweza kufanya maandamano kama yale ili kuonyesha kutoridhishwa na Serikali ya Magamba.
 
Umewahi kufika Ubungo wewe?

Na ujengaji hoja si hoja. Hilo bunge limeshawahi kuwa wajengaji hoja wazuri wengi tu na Mnyika si wa kwanza wala wa mwisho. Ujengaji hoja si maendeleo.
sasa Mkuu, hivi hayo maendeleo 'unakurupuka' tu halafu yanakuja?
 
hivi mbunge wa upinzani anaweza kupata mafanikio kama yapi?
mfano labda?

mtazame Zitto 'mafanikio' ya jimboni kwake
yamemfanya somehow 'a compromise' na CCM...
na imesababisha aonekane 'msaliti' kwa wengine
Mnyika ili alete mafanikio ya kweli ubungo lazima
a 'cmpromise' na serikali' na itam cost kisiasa..


Na pata taabu ni saidie, kucompromise na ccm ndio maana yake uwe double agent? Kwa hiyo mnyika naye ni double agent ambaye ni makini kuliko zitto na umepewa kazi ya kumpigia debe, napata taabu kweli.

 
Nakubaliana nawe kabisa. Jana nilikuwa naangalia news BBC wale Wamisri wamerudi tena pale Tahriri kuendelea kuonyesha kutoridhika na Serikali iliyopo madarakani. Yaani umati wa watu uliokuwepo pale mpaka mwili unakusisimka na kuomba labda itafika siku Watanzania tutaweza kufanya maandamano kama yale ili kuonyesha kutoridhishwa na Serikali ya Magamba.

Kwahiyo unalinganisha MAKONDOO ya kitanzania na WAARABU?
 
Nakubaliana nawe kabisa. Jana nilikuwa naangalia news BBC wale Wamisri wamerudi tena pale Tahriri kuendelea kuonyesha kutoridhika na Serikali iliyopo madarakani. Yaani umati wa watu uliokuwepo pale mpaka mwili unakusisimka na kuomba labda itafika siku Watanzania tutaweza kufanya maandamano kama yale ili kuonyesha kutoridhishwa na Serikali ya Magamba.

It was mass demonstrations, civil disobedience, passive resistance and other methods that caused the (American) Civil Rights Act of 1964 to be enacted that outlawed institututional discrimination against black people.
 
Kwahiyo unalinganisha MAKONDOO ya kitanzania na WAARABU?

Hata wao (Waarabu) walikuwa Kondoo ndio maana yule fisadi Mubarak aliweza kukaa madarakani zaidi ya miaka 30 na chaguzi za kishkaji huku akiendelea kukwapua mabilioni ya dollars za misaada toka US. Watu wakisema sasa basi liwalo na liwe basi hakuna wa kuwazuia. Kama walivyoweza Wamisri na Watanzania pia tunaweza kabisa...YES WE CAN!!!
 
Ka-perform nini hadi hivi sasa huko bungeni? Naomba unipe orodha ya mafanikio 10 aliyoyafanikisha hadi hivi sasa huko bungeni.

itakuwa jambo la busara sana wewe ukiorodhesha mapungufu walau ma3 ya Mnyika ktk ku-perform kwake kama yapo, ndipo uweze kumwamuru The Boss kutoa mazuri 10 aliyofanya Mnyika kwa kipindi hiki kifupi ktk ubunge wake:
 
hii thread iko ki-hisia ziadi kuliko uhalisia na wengi hamuijui chadema hasa mleta thread ameonyesha chembe nyingi mapungufu katika thread yake....
 
Back
Top Bottom