John Mnyika awe mwenyekiti CHADEMA...

Boss

Hebu tusaidie mpaka sasa amefanya kitu gani outstanding bungeni?

Jimboni kwake jee, kuna mambo gani ya msingi ametekeleza?


mimi nafikiri kiongozi sio lazima 'ufanye'
sometimes 'kutokufanya' jambo fulani linaweza kuonesha wew ni kiongozi...

yupi calm.....
hatokwi na 'mapovu' ovyo ovyo

na anapenda zaidi 'dialogue' kuliko kuamrisha watu waandamane....

kwangu mimi mpaka sasa ameonyesha 'character' ya kiongozi

zaidi kuliko wengine ndani ya CHADEMA na nikiangalia umri wake naona its better....
 
Rhetoric doesn't cut it with me. I want a tangible, proven track record.

What has Mnyika done in the parliament that makes him stand out from the rest of the pack?
Kwani Mbowe amefanya nini bungeni? usiwe na akili za half empty glass.
 
mimi nafikiri kiongozi sio lazima 'ufanye'
sometimes 'kutokufanya' jambo fulani linaweza kuonesha wew ni kiongozi...

yupi calm.....
hatokwi na 'mapovu' ovyo ovyo

na anapenda zaidi 'dialogue' kuliko kuamrisha watu waandamane....

kwangu mimi mpaka sasa ameonyesha 'character' ya kiongozi

zaidi kuliko wengine ndani ya CHADEMA na nikiangalia umri wake naona its better....

Unamtafutia bifu la kufa mtu mwenzako mkuu..

Mbowe atafanya kazi gani zaidi ya kuwa chairperson??
 
na anapenda zaidi 'dialogue' kuliko kuamrisha watu waandamane....

kwangu mimi mpaka sasa ameonyesha 'character' ya kiongozi

zaidi kuliko wengine ndani ya CHADEMA na nikiangalia umri wake naona its better....

Hoja yako kimsingi ni kuwa ata connect vizuri na vijana, jee hao vijana wanataka dialogue na sio maandamano?

Unaamini dialogue pekee ndio siasa bora?
 
Anajitahidi sana lakini wakati wa kukabidhiwa mikoba ya uenyekiti wa CHADEMA haujawadia aendelee tu kufanya vitu vyake na wakati muafaka ukifika basi atraichukua mikoba ya uenyekiti kiulaini kabisa.
 
Nimeomba orodha ya mafanikio yake 10 huko bungeni na mpaka sasa hakuna aliyetoa hata nusu yake. Kwa nini?
 
Its widely believed that Mbowe has already proved failure in his position as party's head which thing necessisates his replacement. His mechanisms appear to be entirely antiquated and so antedivulian that can't wait to be substituted by innovative ones. He should himself see the signs of time and volitionally judge to hand over the duties to a fresh blood in order to spell him.


Mpaka muda huu kisiki pekee na kinacho wasumbua CCM ni Mwenyekiti Mbowe kwa kila hali ni kisiki .Sas maneno yako haya tata hayana mashiko kabisa
 
Mpaka muda huu kisiki pekee na kinacho wasumbua CCM ni Mwenyekiti Mbowe kwa kila hali ni kisiki .Sas maneno yako haya tata hayana mashiko kabisa

Magamba wanajaribu sana kumchafua Mbowe lakini ameshawashinda ila hawajakata tamaa.
 
Hoja yako kimsingi ni kuwa ata connect vizuri na vijana, jee hao vijana wanataka dialogue na sio maandamano?

Unaamini dialogue pekee ndio siasa bora?

siasa ni nini kama sio dialogue?
 
Anajitahidi sana lakini wakati wa kukabidhiwa mikoba ya uenyekiti wa CHADEMA haujawadia aendelee tu kufanya vitu vyake na wakati muafaka ukifika basi atraichukua mikoba ya uenyekiti kiulaini kabisa.

wakati sahihi ni upi?
 
We unaejiita the boss napingana na wewe unaposema matatizo mengi ya nchi hii yanatokana na hicho ulichoita ''age-gap'' watanzania tunashida chungu tele! Mfn ukosefu wa huduma muhimu za jamii ambazo kwa kiasi kikubwa zimechangiwa na ufisadi ulopindukia kwenye kila idara za serikali, huko kwenye hizo ofisi kuna viongozi wenye rika mbalimbali wazee kwa vijana. Na bado matatizo yanazidi kila kukicha. Swala la umri sio mwarobaini wa kutatua kero zetu, mi nadhani watanzania tuliowapa dhamana ya kutongoza wamepungukiwa na utu, na zaidi sana upendo na matokeo yake ni kutamalaki kwa ubainafsi unaozaa ufisadi, na wala sio umri.
Nawasilisha.
 
Back
Top Bottom