KOMBESANA
JF-Expert Member
- Jun 18, 2009
- 918
- 212
Kwa hakika huhitaji kisomo chochote kuona udhaifu mkubwa wa URAIS WA AWAMU YA NNE wa Tanzania.Kwa hasara ya kukosa uwepo wa KOMANDOO MNYIKA kwenye mjadala,kwa kuwa tunajua makomandoo waliobaki watafanya kazi kusudiwa vizuri bila kujali uchache wao NA UWEPO WA REFARII AMBAYE AMEVAA JEZI YA CCM, ni vizuri neno hilo likabaki kwenye HANSARD!bravo JOHN!