Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,334
- 3,893
simkumbuki mtu huyu, ni nani kwani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
simkumbuki mtu huyu, ni nani kwani?
Amezoeleka kwa nick name yake ya Mzee Mwanakijiji
Na wewe umezoeleka kama MSWAHILI?Amezoeleka kwa nick name yake ya Mzee Mwanakijiji
Amezoeleka kwa nick name yake ya Mzee Mwanakijiji
huyo mwanakijiji ni tamaa ya madaraka tu. akishinda ubunge nampeleka u-turn ali atukanwe vizuri. huko ndo kuna viboko yake, mitambo ya kurekebisha tabia. wanawake lazima tuchukue nchi yetu. alafu mbona kama nilimuona huyu mkaka kwenye vintage sale ya mwamvita au ilikuwa ni macho yangu?
Nothing goes for nothingDah! Siku hizi Bongo kila Mtu anasaidia kwa malengo?? Eeeh! Kwa hiyo na yeye anasaidia ili apate ubunge? Watanzania hatuhitaji wabunge wanaotoa misaada Bali wabunge wenye uwezo wa kutetea MASLAHI ya wananchi waliowaweka madarakani sio viongozi wanaotafuta cheap popularity
Nyie inawezekana ni wapambe wake tu, subiri tuone kama there isn't something behind, jishirikisheni kufikiri, otherwise ni wapambe na nicknames.Ahem....That's what am talking about....!!
-heshima mbele mkuu ila hao watu wawili ni tofauti. MM Mwanakijiji ni Mwandishi wa habari. yohana mashaka ni mchumi wa huko waltreet marekani. ila wote wawili ni vipanga maarufu. ukisikiza bbc mara nyingi utamsikia mashaka akitoa uchambuzi wa mambo ya uchumi
Hongera John Mashaka, Mungu akubariki kusaidia wahitaji. Kwa lengo lolote ulilonalo, Mungu anayeweza kuona sirini akujibu sawasawa na mapenzi yake kwako. Nimefurahi kuona kijana badala ya kutafuta sifa za kijinga bar na kumalizia hela kwa malaya,unawakumbuka wahitaji.
Na wewe umezoeleka kama MSWAHILI?