MPENI UBUNGE:eyebrows:
ndio shida ya serikali kuwekwa mfukoni na wafanya biashara,wamesababisha uongozi kuwa ni kazi inayolipa kuliko kazi zote unazozijua.
huyu hana lolote kwanza hiyo misaada kwake ni dili na bado anafukuzia ubunge kwani ndo ameona pa kutokea.
watanzania kwa kipindi hiki tuwaogope watu hawa kama ukoma.
Dah! Siku hizi Bongo kila Mtu anasaidia kwa malengo?? Eeeh! Kwa hiyo na yeye anasaidia ili apate ubunge? Watanzania hatuhitaji wabunge wanaotoa misaada Bali wabunge wenye uwezo wa kutetea MASLAHI ya wananchi waliowaweka madarakani sio viongozi wanaotafuta cheap popularity
Kujitolea ni jambo la kawaida ila wabongo ukiona mtu anafanya eti anataka kupewa ama kugombea kifulani,kha!
hawa ni watoto yatima?
nyooo,analipwa kuliko huyo mbunge,aje kugombea ubunge ili iweje???ameanza kutoa misaada kwa jamii yake tangu 2005,hamuoni his golden heart mnaona mnaibiwa tu cha kushangaza mmejaza serikali ya wabunge wezi hamsemi lolote,ushaona mbunge gani akitoa misaada kwa watu wake zaidi ya posho zao kuongezeka kila siku,the real wezi mmewakumbatia afu watu genuine mnawapaka,mna ulemavu wa akili au???by the way akitaka kugombea ubunge ni haki yake na yeye ni mtanzania kama wengine,shida yako nini hapo???afu ukute hata hujawahi kutoa hata senti tano kwa maskini kazi ni kujificha behind your computer na kusakizia unazi tu kwa wenzio...hovyoooooooooooooooooo!
msimpakazie hahitaji ubunge,na akiwa anahitaji sioni shida yenu ni nini na yeye ni mtanzania,bora yeye ata akipewa ubunge ana interest za watu at heart,kuliko wabunge wenu wengi..................wewe unaona mtu anayegawa misaada kwa wasiojiweza atashindwa kutetea maslahi ya wanyonge? mpeni kijana wa watu recognition he deserves!
Hako katoto alikokapakata kazuri kweli. . .
Kwani kwenye ubunge ni wote wanafata posho?? Wako wengine wanaotafuta umaarufu na upenyo wa kufanya deal zao! Mbona unatoa povu kumtetea angekuwa anatoa tu bila dhamira tofauti si angetoa tu kimya kimya vitabu vya dini vinatuambia ikibidi hata mkono wa kushoto usijue yeye kutoa hivo vijuice ndo mpaka picha zoote hizo ka sio kuna kitu hapo ni nini? Sema tu wananchi ni maskini ingetakiwa wamwambie Kama unatoa utoe sio mpaka picha kibao huku umetoa vijuice tena artificial