John Mashaka adanganya umma kupitia ITV

John Mashaka akihojiwa na televisheni ya ITV, asema wazungu wengi wanaokuja kwa vigezo vya uwekezaji wanaweza kuwa hatari kwa usalama wa nchi na uchumi wake, kwani wengi wanakuwa hawaeleweki taalum zao, lakini kwa Tanzania wanapewa vibali vya uwekezaji bila vigezo muhimu kuzingatiwa. Hii ni baada ya yeye kukutana na wa south Africa, wasio na chakula wala hela katikati ya pori huku wakitaka kusafiri ndani ya mbuga ya wanyama ya serengeti.

Changamoto kwa Mashaka:
Hacha longolongo, bila hawa wazungu usingenunua bidhaa bei rahisi wala usingepanda ndege kuja Tanzania. Wewe nawe njoo tanzania uwekeze badala ya kutumwagia upupu na vitendo sifuri. Nawe ni ***** kwa kuwa kibaraka wa wamarekani

Naunga mkono hoja ya John sio kila mzungu anayetaka kuja Tanzania ana uwezo kifedha kama hana uwezo asije kabisa kuliko kuleta dhiki zake bongo. Ni hatari sana kuruhusu watu kuja nchini bila kuwa na sababu ya maana kwa sababu mtu yeye ni Mzungu Jaribu kwenda Ulaya au USA uone.
 
John Mashaka akihojiwa na televisheni ya ITV, asema wazungu wengi wanaokuja kwa vigezo vya uwekezaji wanaweza kuwa hatari kwa usalama wa nchi na uchumi wake, kwani wengi wanakuwa hawaeleweki taalum zao, lakini kwa Tanzania wanapewa vibali vya uwekezaji bila vigezo muhimu kuzingatiwa. Hii ni baada ya yeye kukutana na wa south Africa, wasio na chakula wala hela katikati ya pori huku wakitaka kusafiri ndani ya mbuga ya wanyama ya serengeti.

Changamoto kwa Mashaka:
Hacha longolongo, bila hawa wazungu usingenunua bidhaa bei rahisi wala usingepanda ndege kuja Tanzania. Wewe nawe njoo tanzania uwekeze badala ya kutumwagia upupu na vitendo sifuri. Nawe ni ***** kwa kuwa kibaraka wa wamarekani

EWE MWANA WA MTU! Usinong'one dhambi za wengine iwapo wewe mwenyewe ni mtenda dhambi kama ukivunja amri hii utakuwa umelaniwa na mngu
 
hajadanganya kitu wazungu wengi ni mabuyu sisi tunawahusudu tu kwa sababu ya ngozi zao
pumbafu kabisa viongozi wetu
 
John Mashaka akihojiwa na televisheni ya ITV, asema wazungu wengi wanaokuja kwa vigezo vya uwekezaji wanaweza kuwa hatari kwa usalama wa nchi na uchumi wake, kwani wengi wanakuwa hawaeleweki taalum zao, lakini kwa Tanzania wanapewa vibali vya uwekezaji bila vigezo muhimu kuzingatiwa. Hii ni baada ya yeye kukutana na wa south Africa, wasio na chakula wala hela katikati ya pori huku wakitaka kusafiri ndani ya mbuga ya wanyama ya serengeti.

Changamoto kwa Mashaka:
Hacha longolongo, bila hawa wazungu usingenunua bidhaa bei rahisi wala usingepanda ndege kuja Tanzania. Wewe nawe njoo tanzania uwekeze badala ya kutumwagia upupu na vitendo sifuri. Nawe ni ***** kwa kuwa kibaraka wa wamarekani

Crapppppppppp!!!!!!!!!! kweli wewe FISADI
 
John Mashaka ni fisadi anayetayarishwa na system. Wawekezaji wamesaidia sana hili taifa, yeye ni kibaralaka wa wamarekani kazi ni kuwaponda wachina.
Wawekezaji wa Kichina? .......Fisadi original samahani kama una maslahi kwa Wachina lakini wengi wao ni wamachinga, mafundi mchundo, bomba na magari, hivi vibali vyao vimewaruhusu kufanya hizi kazi?
 
Kuna mwekezaji m1 wa kiasia,nilimwona kimara anauza maji. Ana ki power tiller na kwenye trailer lake kapakia tank la maji. Nikasema nchi hii...
 
Tatizo watu wa magamba wanatetea hata upupu alichokisema jonh mashaka ni kweli wawekezaji wengi wa tz ni matapeli
 
John Mashaka akihojiwa na televisheni ya ITV, asema wazungu wengi wanaokuja kwa vigezo vya uwekezaji wanaweza kuwa hatari kwa usalama wa nchi na uchumi wake, kwani wengi wanakuwa hawaeleweki taalum zao, lakini kwa Tanzania wanapewa vibali vya uwekezaji bila vigezo muhimu kuzingatiwa. Hii ni baada ya yeye kukutana na wa south Africa, wasio na chakula wala hela katikati ya pori huku wakitaka kusafiri ndani ya mbuga ya wanyama ya serengeti.

Changamoto kwa Mashaka:
Hacha longolongo, bila hawa wazungu usingenunua bidhaa bei rahisi wala usingepanda ndege kuja Tanzania. Wewe nawe njoo tanzania uwekeze badala ya kutumwagia upupu na vitendo sifuri. Nawe ni ***** kwa kuwa kibaraka wa wamarekani

Mmegombania nini na John Mashaka mkuu?. Huku makampuni ya watalii Arusha kuna wawekezaji wengi kutoka Ulaya wamefungua vituo vya watoto yatima feki, madereva wa tours na tour guide. Wengine tupo nao mitaani tunachoma nyama. wanachofanya cha maana ni kuchukua na kuwaharibu tu dada zetu then wanawakimbia wanapokaribia kurudi kwao.

Wawekezaji serious kwa ufupi ni wachache sana kwani wengi ni watafutaji. Kuna Mmisionary mmoja raia wa ujerumani nilimuuliza nini lengo lako la kuja huku na kukaa porini na akaniambia "I thought will be the first Missionary millionaire." Hapa nilimhoji wakati akiwa katika kuaga ili arudi kwao Ujerumani. KKKT wao walimwona kama mmisionari lakini yeye kumbe alikuwa na lengo la kuwa milionea; sasa hii ni wapi na wapi. Tusiwaamini sana hawa jamaa inabidi tukae nao kwa taadhari kubwa.
 
mh! mtu mwenye ranginyeupe haji afrika kutafuta hewa,ukimwona karudi tupu ujue alichondoka nacho kiko nyuma ya pazia kesho yake atakiijia.
 
Nimeitafakari hii hoja kabla ya kuchangia na baada ya kuliona jina lako. Nimekumbuka kuwa swala la kuwaleta/kuruhusu wawekezaji feki kutoka nje ya nchi ni sera ya kifisadi inayokomaliwa na watawala mafisadi ili kujiongezea mirija ya kutunyonya. Kwa kuwa wewe ni Fisadi Original, lazima upingane na Mattaka kwakuwa anapingana na wewe! Pole sana maana hizo zama zinazama kama ilivyozama karne ya 20!
Kuhusu hoja yako, sichangii chochote maana haina maslahi kwa taifa!
 
hoja zenu zikizimwa mtaita watu mbumbumbu... ustaarabu sifuri
/QUOTE]

John Mashaka ameongelea facts! yaani ulivyotaka kutuaminisha ni kuwa alichosema John Mashaka ni uongo. ebu tumia akili yako kidogo tu ndg yangu, pitia Sera ya uwekezaji tuliyo nayo with comparison to our neighbours like EAC countries and southern african countries, utaelewa Mtz mzalendo huyo alikuwa anasema nini. Nenda tu Kariakoo utakuta Wachina walioingia nchini kwa vibali vya uwekezaji, wanaziba opportunities za ndg zako Watz wewe unashabikia upupu! Mnauza nchi kwa uwekezaji of the lowest class na nchi haifaidiki na lolote zaidi ya kuongeza umasikini kwa Watz, come on guy!
 
John Mashaka akihojiwa na televisheni ya ITV, asema wazungu wengi wanaokuja kwa vigezo vya uwekezaji wanaweza kuwa hatari kwa usalama wa nchi na uchumi wake, kwani wengi wanakuwa hawaeleweki taalum zao, lakini kwa Tanzania wanapewa vibali vya uwekezaji bila vigezo muhimu kuzingatiwa. Hii ni baada ya yeye kukutana na wa south Africa, wasio na chakula wala hela katikati ya pori huku wakitaka kusafiri ndani ya mbuga ya wanyama ya serengeti.

Changamoto kwa Mashaka:
Hacha longolongo, bila hawa wazungu usingenunua bidhaa bei rahisi wala usingepanda ndege kuja Tanzania. Wewe nawe njoo tanzania uwekeze badala ya kutumwagia upupu na vitendo sifuri. Nawe ni ***** kwa kuwa kibaraka wa wamarekani
mashaka is right
 
Back
Top Bottom