John Malecela: CCM itashinda kwa kishindo uchaguzi mkuu mwaka 2015

Hii inatokana na ukweli kwamba hadi sasa miundombinu ya usafiri imeboreshwa mara dufu. Ujenzi wa shule za sekondari na vyuo. Hospitali na huduma za afya kwa ujumla zimeboreshwa...in fact ilani ya uchaguzi imetekelezwa kwa asilimia zaidi ya 80. Upinzani una hali mbaya na ngumu.wamebaki na uzushi na ubabaishaji bora wajiunge na ccm


Binadamu haishi kwa kusoma na kusafiri! Wanajitaji kula na kuvaa na nyumba bora. Wapi ajira viwandani,wapi miiko ya viongozi, wapi ukusanyaji Wa kodi nk. Katika haya ccm hawana mawazo mapya na ni vema tujaribu wengine wenye mawazo mapya.
 
SOURCE: DAKIKA 45 ITV BY SELEMANI SEMUNYU 24/09/2012 saa 3.00 usiku huu

1. Anasema siasa zetu zilipo fika hapa yeye alishajua tangu vyama vingi vinaanzishwa 1992

2. Anasema CCM kitashinda kwa kishindo kikubwa sana, haya yanayotokea sasa ni kelele za chura tu hazina mashiko

3. Anasema mtu atanayeonekana kujitapa kuutaka uraisi kwasasa huyo hafai, na tena tumtemee mate

4. Ufisadi anasema kweli upo, anasema leo kuna watz leo wanapesa sana wamezipata wapi?

Anasema alikuwa uingereza kuna mzungu alimwambia malecela kuna mtz alikuja hapo uingereza alinunua range rover akaisafirisha kwa ndege mpaka tzanaulizwa je kwa hali ilivyo kuhusu ufisadi je anadhani haya mapambano yatawezekana kutokomeza ufisadi?

Anasema inawezekana kukomesha kupitia takukuru, polisi na usalama wa taifa
Ndoto za mchana za Joni Machela huku unatembea barabarani ni uchizi na hatari kwa afya ,usalama wake na wanaomtegemea.Kama hakuweza kufahamu anakwenda kuaibika kwenye uchaguzi tena wa ndani CCM na kijana mdogo aliyekuwa hafahamiki ktk medani za siasa ukizingatia alishakuwa waziri mkubwa nani atamwamini kwa hili!
Bunge la 2005 lilipokuwa linakaribia kumaliza muhula wake alisimama kwa majigambo..Muheshimiwa supika Sita umeliendesha bunge hiri kwa weredi wa hari ya juu ,nitahakikisha unarudia nafasi yako ya usupika kwa kipindi kingine...matokeo yake yeye mwenyewe chali kifo cha mende na huyo Supika wake Six (6) naye chali.Ale pensheni yake huku akisubiri umauti ambao wote unatukabili!
 
Kutokana na muamko unaojitokeza siku hizi za karibuni, mfano kwenye serikali za mitaa tumeona wapinzani wakipata viti vingi na kutikisa ngome ya CCM.

Nieleweke kuwa sijasema upinzani hawawezi kushinda la! lakini ni wazi kujua kuwa kwa mazingira CCM iliyojiwekea ni ngumu kuachia nchi.

Hebu ona
a) Wakuu wa mikoa wote ni CCM.
b) wakuu wa wilaya wote ni CCM.
c.) Wakuu wa vyuo vya serikali wengi ni CCM.
d) Wakurugenzi wengi ni CCM
e) Tume ya uchaguzi sio huru wote wanachaguliwa na CCM.
f) Wakuu wa vitengo nyeti wote wanachaguliwa na rais wa CCM.
g) TISS kumejaa CCM.

Na ndio maana yoyote anayegemea kwenye 'umma' katika secta za umma na haegemei kwenye chama (CCM) basi hachukui round.

Walimu wengi wameichoka CCM, vijana wengi wameichoka CCM, wafanyabiashara, madaktari n.k wengi wameichoka CCM.

Hitimisho:
CCM itapata kura chache kuliko upinzani lakini CCM itatangazwa mshindi!! Hata hivyo itapata somo kubwa lisilosahaulika!!!

Wakuu wa mikoa ni wangapi?

Wakuu wa wilaya ni wangapi?

Wakurugenzi ni wangapi?

Wakuu wa taasisi ni wangapi?

Watumishi wa tume ni wangapi?

Halafu jiulize wananchi wengine wanaostahili kupiga kura ni wangapi ndio uje tena na conclusion yako.
 
Katapila huyu,uraisi atausikia tuu na sasa hivi vitukuu kibao. El alimchezea mchezo mchafu sana kwenye dili la magari ya kijapani enzi za mwalimu!! Toka hapo hawaivi afu wote wezi.
 
SOURCE: DAKIKA 45 ITV BY SELEMANI SEMUNYU 24/09/2012 saa 3.00 usiku huu

1. Anasema siasa zetu zilipo fika hapa yeye alishajua tangu vyama vingi vinaanzishwa 1992

2. Anasema CCM kitashinda kwa kishindo kikubwa sana, haya yanayotokea sasa ni kelele za chura tu hazina mashiko

3. Anasema mtu atanayeonekana kujitapa kuutaka uraisi kwasasa huyo hafai, na tena tumtemee mate

4. Ufisadi anasema kweli upo, anasema leo kuna watz leo wanapesa sana wamezipata wapi?

Anasema alikuwa uingereza kuna mzungu alimwambia malecela kuna mtz alikuja hapo uingereza alinunua range rover akaisafirisha kwa ndege mpaka tzanaulizwa je kwa hali ilivyo kuhusu ufisadi je anadhani haya mapambano yatawezekana kutokomeza ufisadi?

Anasema inawezekana kukomesha kupitia takukuru, polisi na usalama wa taifa
Kama ni kweli kwenye uzi huu ni maneno ya mzee wangu huyu ninae mheshimu sana?Hii itadhihirisha kwamba yale maneno aliyozungumza akiwa waziri wa uchukuzi enzi zile!wananchi wakilalamikia kugongwa tickets za usafiri kwamba they can go to hell!zimejidhibitisha bila shaka,kwamba alikuwa hakuteleza ulimi bali ndio ilikuwa dhamira ya nafsi yake!mzee kama huyu ndie tulitegemea atoe ushauri mujarab kwa chama chetu,kwa hiyo tuendelee kukumbatia wizi,ubadhirifu wa mali ya umma,ufisadi baya zaidi hata wanyama wetu hai wanapanda ndege? Let anyone out there aniambie haya maneno hayajatoka kwa huyu mzee!of coz tunaweza kushinda ila si kwa kishindo hicho!TAFAKARI SANA...
 
Jamani tukae tutambue bora ccm iyendelee kukaa madalakani kuliko chama kingine me naona wote wapenda pesa za tz bora ccm kuliko chama kingine kikiingia madalakani tutalia machozi ya damu......ASANTENI WATANZANIA WENZANGU
 
Back
Top Bottom