alikuwa hapa itigi jimbo la manyoni magharibi mbalo lina ushindani mkubwa sana na ni wazi ccm inapumulia mashine,akiwa anawaomba watu wampe kura mgombea wa ccm bwana lwanja watu wakamwonyesha alama ya v ya chadema na kusema wanampa lupaa wa chadema,mzee kachanganyikiwa na kafunga kampeni kwa unyonge sana,hapa hata alipokuja kikwete walimwonyesha alama hiyo ya chadema.pole kwa mzee wetu kwa yaliyomkuta leo hapa itigi