Waziri John Magufuli hili la kuvunja jengo la TANESCO Ubungo tumia busara

Nakubaliana na wanao support uamuzi wa Magufuli, siyo lazima master plan iwe kama msahafu wa maendeleo ya mji. Kama teknolojia ya miundombinu imebadirika na inabidi kuvunja jengo fulani, hakuna haja ya kuleta siasa kwa hilo. Ni kubomoa na kupitisha mradi husika ili jamii kubwa inufaike.

Hilo jengo la Tanesco linaweza likajengwa sehemu nyingine kwa mtindo wa kisasa zaidi kuliko lilivyo sasa. Kama mtu binafsi anaweza kujenga jengo kubwa na zuri kuliko hilo, serikali ishindwe? Serikali ikichukua vijisenti vya Chenge na Miraji JK, zinaweza kujenga majengo kama hayo kila Wilaya zote za Dar. Hapo hujaweka za RA, EL na Mkono wanaweza wakajenga kama hayo kila wilaya nchini.

Pombe chapa kazi usiangalie mtu usoni. Watalia leo kesho watacheka.
 
Magufuri upo sahihi kabisa,unatimiza wajibu wako na hili ni fundisho kwa taasisi nyingine kuamini wapo juu ya sheria,tuache siasa kama wananchi wa kawaida,maskini kabisa ambao kujenga chumba kimoja ni kwa kuchangishana wanavunjiwa why not serikali?tusiingize siasa ktk utendaji,hiyo barabara ikijengwa haitakuwa ya ccm au chadema,ni ya watanzania wote.Leo tanesco kesho dawaso wakijenga ndani ya hifadhi tuache kisa public service?
 
Tanescobuild.jpg = images (1).jpg images.jpg

vunjaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!:flame::flame:
 
Nakumbuka msemo wa kikwetu usemao "...Ukimsifu mgema tembo hulitia maji...! Magufuli amesema yale majumba ya shirika la umeme yanayoleta mandhari ya aina yake hapa jijini yaliyojengwa kwa mabilioni ya shilingi ni lazima yavunjwe eti yamejengwa kwenye sehemu iliyohifadhiwa kwa ajili ya kupita barabara.

Huyu mtu kama hana wazimu atakuwa na kitu gani hivi anafikiria hela iliyotumika ni hela ya serikali, ? Au ya shirika la umeme ,akili za watu wengine zinakuwa za ajabu ajabu ,anachotaka ni kuwapa tanesco eneo jingine wajenge upya ,kwa maana kwa dau hilo hela ingine itapatikana na wajanja kupata chao.

Mtu huyu alikuwa wapi wakati majumba hayo yakijengwa ?Serikali ilikuwa wapi ?
Tanescobuild.jpg
Unaenda kuvunja mijumba hiyo kwenye nchi ambayo uchumi wake ni wa kubahatisha au wakuu mnataka na kutafuta njia mbadala ya kufanya ufisadi,

Nilishawahi kuandika hapa huyu Magufuli ni bomu tu kutokana na maamuzi yake mbali mbali hasa katika awamu ya tatu na hii pia. Afadhali nawe umeona hivyo. Inaelekea hakuna aliyeiba password yako. Napenda kusoma michango ya huyu Mwiba mpya na siyo yule wa zamani aliyekuwa anapigia debe uozo wa Chama Cha Mafisadi/Majambazi. Hongera sana kwa kuamua kubadilika.
 
Nakumbuka msemo wa kikwetu usemao "...Ukimsifu mgema tembo hulitia maji...! Magufuli amesema yale majumba ya shirika la umeme yanayoleta mandhari ya aina yake hapa jijini yaliyojengwa kwa mabilioni ya shilingi ni lazima yavunjwe eti yamejengwa kwenye sehemu iliyohifadhiwa kwa ajili ya kupita barabara.

Huyu mtu kama hana wazimu atakuwa na kitu gani hivi anafikiria hela iliyotumika ni hela ya serikali, ? Au ya shirika la umeme ,akili za watu wengine zinakuwa za ajabu ajabu ,anachotaka ni kuwapa tanesco eneo jingine wajenge upya ,kwa maana kwa dau hilo hela ingine itapatikana na wajanja kupata chao.

Mtu huyu alikuwa wapi wakati majumba hayo yakijengwa ?Serikali ilikuwa wapi ?
Tanescobuild.jpg
Unaenda kuvunja mijumba hiyo kwenye nchi ambayo uchumi wake ni wa kubahatisha au wakuu mnataka na kutafuta njia mbadala ya kufanya ufisadi,

Inaonesha kama vile wewe ndiye ulitoa permit ya hilo jengo kujengwa mahali ambapo si sawa, umeshajiuliza ni watanzania wangapi wamepewa building permit na serikali and then wakaja kuvunjiwa nyumba zao? B25 zilizotumika na serikali kujenga jengo hilo ni sawa na M25 za Mtanzania aliyejenga nyumba yake pembezoni mwa barabara na serikali ikamvunjia nyumba yake.
 
Nilishawahi kuandika hapa huyu Magufuli ni bomu tu kutokana na maamuzi yake mbali mbali hasa katika awamu ya tatu na hii pia. Afadhali nawe umeona hivyo. Inaelekea hakuna aliyeiba password yako. Napenda kusoma michango ya huyu Mwiba mpya na siyo yule wa zamani aliyekuwa anapigia debe uozo wa Chama Cha Mafisadi/Majambazi. Hongera sana kwa kuamua kubadilika.

Mkuu umesoma michango mingine ili upate shule au kwa sababu siku moja ulimpinga magufuli? acheni ubishi angalieni michango,pimeni na amueni! beef za namna hii zinaleta upofu wa kuangalia mambo professionally, leo tunalia hatuna umemekwa sababu ya viongozi waliopita na wewe kilio chako Dowansa, leo magufuli anawaza sasa na vizaqzi vijavyo unamuona bomu?? katika hili you are WRONG!! kibaya au kizuri kwa magufuli people are no ashamed to defend him! I wonder why!
 
Mkuu umesoma michango mingine ili upate shule au kwa sababu siku moja ulimpinga magufuli? acheni ubishi angalieni michango,pimeni na amueni! beef za namna hii zinaleta upofu wa kuangalia mambo professionally, leo tunalia hatuna umemekwa sababu ya viongozi waliopita na wewe kilio chako Dowansa, leo magufuli anawaza sasa na vizaqzi vijavyo unamuona bomu?? katika hili you are WRONG!! kibaya au kizuri kwa magufuli people are no ashamed to defend him! I wonder why!


Huyu magufuli katika awamu ya tatu alibariki uuzwaji wa nyumba za Serikali ambazo umeiingizia hasara kubwa Serikali ya zaidi ya shilingi bilioni 200 kwa kuwaweka Wafanyakazi wa Serikali katika mahoteli kutokana na ukosefu wa nyumba za Serikali ambazo ziliuzwa kienyeji na katika bei ya kutupa. Siyo sawa hata kidogo kumsifia mtu kama huyu aliyeliingiza Taifa kwenye hasara kubwa eti anastahili kuwa Rais 2015 wakati kuna maamuzi mengi aliyoyafanya ambayo hayakuweka maslahi ya nchi mbele. Fikiria hizo zaidi ya shilingi bilioni 200 zilizotumika katika kulipia gharama za mahoteli zingeweza kufanya mazuri mangapi katika kuboresha maisha ya Watanzania katika upatikanaji wa huduma mbali mbali muhimu.

Magufuli hafai ni BOMU kama kilivyo chama chake cha mafisadi. Umeshamsikia hata siku moja kutoa kauli yake kukemea ufisadi mbali mbali unaoendelea ndani ya nchi yetu? Kama anavyofanya Sitta? Unadhani kwanini anashindwa kufanya hivyo kama siyo unafiki maana anajua na yeye wanayajua madudu yake chungu nzima.
 
Nyie mbona mnadiscuss ujinga? mnalijua lile gorofa la masaki lililobomolewa kwa kuwa kule hakukutakiwa kuwepo jengo lefu kama lile? mnajua gharama za jengo lile? Nyie ni wafuasi wa serikali ambayo inawaonea wananchi na nyie mmekubali. Sheria haijalishi serikali au mtu binafsi. Unaponibomolea kijumba changu kidogo ni sawa na yule unayembomolea gorofa. Mmeshafanya projection in twenty five years mahitaji ya ile bara bara yatakuwaje?
Magufuli yuko sawa myie ndio mmepotoka

mkuu nakuunga mkono!!!
 
Nilishawahi kuandika hapa huyu Magufuli ni bomu tu kutokana na maamuzi yake mbali mbali hasa katika awamu ya tatu na hii pia. Afadhali nawe umeona hivyo. Inaelekea hakuna aliyeiba password yako. Napenda kusoma michango ya huyu Mwiba mpya na siyo yule wa zamani aliyekuwa anapigia debe uozo wa Chama Cha Mafisadi/Majambazi. Hongera sana kwa kuamua kubadilika.

hata kukamata wavuvi haramu magufuli alikuwa bomu!tunahitaji mawaziri BOMU kama magufuli ili tusonge mbele.
 
Huyu magufuli katika awamu ya tatu alibariki uuzwaji wa nyumba za Serikali ambazo umeiingizia hasara kubwa Serikali ya zaidi ya shilingi bilioni 200 kwa kuwaweka Wafanyakazi wa Serikali katika mahoteli kutokana na ukosefu wa nyumba za Serikali ambazo ziliuzwa kienyeji na katika bei ya kutupa. Ni unafiki mkubwa kumsifia mtu kama huyu aliyeliingiza Taifa kwenye hasara kubwa eti anastahili kuwa Rais 2015 wakati kuna maamuzi mengi aliyoyafanya ambayo hayakuweka maslahi ya nchi mbele. Fikiria hizo zaidi ya shilingi bilioni 200 zilizotumika katika kulipia gharama za mahoteli zingeweza kufanya mazuri mangapi katika kuboresha maisha ya Watanzania katika upatikanaji wa huduma mbali mbali muhimu.

Magufuli hafai ni BOMU kama kilivyo chama chake cha mafisadi. Umeshamsikia hata siku moja kutoa kauli yake kukemea ufisadi mbali mbali unaoendelea ndani ya nchi yetu? Kama anavyofanya Sitta? Unadhani kwanini anashindwa kufanya hivyo kama siyo unafiki maana anajua na yeye wanayajua madudu yake chungu nzima.


Mkuu, siku zote nilidhani wewe huwa humshambulii mtu bali hoja
 
Nilishawahi kuandika hapa huyu Magufuli ni bomu tu kutokana na maamuzi yake mbali mbali hasa katika awamu ya tatu na hii pia. Afadhali nawe umeona hivyo. Inaelekea hakuna aliyeiba password yako. Napenda kusoma michango ya huyu Mwiba mpya na siyo yule wa zamani aliyekuwa anapigia debe uozo wa Chama Cha Mafisadi/Majambazi. Hongera sana kwa kuamua kubadilika.

hata kukamata wavuvi haramu magufuli alikuwa bomu!tunahitaji mawaziri BOMU kama magufuli ili tusonge mbele.
 
Nilishawahi kuandika hapa huyu Magufuli ni bomu tu kutokana na maamuzi yake mbali mbali hasa katika awamu ya tatu na hii pia. Afadhali nawe umeona hivyo. Inaelekea hakuna aliyeiba password yako. Napenda kusoma michango ya huyu Mwiba mpya na siyo yule wa zamani aliyekuwa anapigia debe uozo wa Chama Cha Mafisadi/Majambazi. Hongera sana kwa kuamua kubadilika.
cross-3.jpg


- Jaribu kufikiria kwanza miaka 50 ijayo kuanzia hapa tulipo na miaka 50 iliyopita
- Msongamano wa magari Dar nini suluhisho lake?
- Lane mbili za Highway ya Morogoro road na express way ya Mandela bado zinatosha?
- Makutano ya barabara hizi mbili ndio njia kuu ya kuingia Dar kutoka mikoani na ndipo unapoanza kuonja chungu ya msongamano wa magari dar. Kwa maana hiyo upanuzi wa barabara ni wa awamu pamoja na kujenga makutano hayo kwa mfumo wa mpishano wa madaraja na ramps za entrance na exit.
- Kwa mwenye uelewa mpana na kufikiria kizazi kijacho ubomoaji wa jengo la Tanesco haukwepeki na hata kama leo haiwezekani lakini kuna siku litabomolewa tu.
- Ujenzi wa uwanja wa ndege na barabara kadhaa nyumba nyingi tu za watu zime iweje jengo la Tanesco ishindikane? Au wanaotetea hapa ni wafanyakazi wa Tanesco?

Kuhusu mashambulizi ya Magufuli kuhusiana na yaliyopita, binadamu ye yote ana mampungufu yake na hivyo tusichukue mapungufu aliyo nayo kubeza haya mazuri ambayo anataka kuyafanya kwa ajili ya taifa letu. Tuwe watu si wa kuona upande mmoja wa sarafu tu ila tujaribu kuona na mema pia na tuyakubali maana ni kwa manufaa yetu sote.
 
Huyu jamaa anatakiwa ku focus attention yake kwenye kujenga barabara. Badala yake sasa ana focus attention yake yote kwenye kubomoa majengo ambayo yamekuwepo hapo kwa zaidi ya miaka kumi sasa. Huu ni wenda wazimu!
wewe ndiyo mwehu mara 100 ya Magufuri a focus kujenga barabara!?, hizo barabara zina pita wapi?
 
Huyu magufuli katika awamu ya tatu alibariki uuzwaji wa nyumba za Serikali ambazo umeiingizia hasara kubwa Serikali ya zaidi ya shilingi bilioni 200 kwa kuwaweka Wafanyakazi wa Serikali katika mahoteli kutokana na ukosefu wa nyumba za Serikali ambazo ziliuzwa kienyeji na katika bei ya kutupa. Ni unafiki mkubwa kumsifia mtu kama huyu aliyeliingiza Taifa kwenye hasara kubwa eti anastahili kuwa Rais 2015 wakati kuna maamuzi mengi aliyoyafanya ambayo hayakuweka maslahi ya nchi mbele. Fikiria hizo zaidi ya shilingi bilioni 200 zilizotumika katika kulipia gharama za mahoteli zingeweza kufanya mazuri mangapi katika kuboresha maisha ya Watanzania katika upatikanaji wa huduma mbali mbali muhimu.

Magufuli hafai ni BOMU kama kilivyo chama chake cha mafisadi. Umeshamsikia hata siku moja kutoa kauli yake kukemea ufisadi mbali mbali unaoendelea ndani ya nchi yetu? Kama anavyofanya Sitta? Unadhani kwanini anashindwa kufanya hivyo kama siyo unafiki maana anajua na yeye wanayajua madudu yake chungu nzima.


..Hili la nyumba umenikuna..nafikiri ni kati ya makosa makubwa ambayo Magufuli amelitenda na kuliletea taifa hasara kubwa..
 
Kwani zile barabara zilizoahidiwa na Kikwete za kupita juu kwa juu zimeishia wapi? haiwezekani kuvunja majengo yenye ofisi nyingi za Serikali, mashirika ya umma n.k ambayo yanawahifadhi Wafanyakazi wengi maana hili katika miaka ijayo kama halikuangaliwa vizuri linaweza kusababisha ukosefu mkubwa wa majengo ambayo yanaweza kutumika kama maofisi ya Serikali na mashirika mengine mbali mbali. Kukurupuka tu na kuvunja vunja bla kuangalia kwa makini wale ambao maofisi yao yanavunjwa watahamishiwa wapi inaweza kusababisha matatizo makubwa siku za usoni kwa kuwepo na upungufu mkubwa wa majengyenye hadhi ya kuwa maofisi ya Serikali na mashirika mengine.
 
..Hili la nyumba umenikuna..nafikiri ni kati ya makosa makubwa ambayo Magufuli amelitenda na kuliletea taifa hasara kubwa..

Na hasara yake inaendelea mpaka sasa hivi si ajabu imeshafikia zaidi ya shilingi bilioni 300 au hata zaidi (kwa pesa kama hii tungepata mitambo kama ya Dowans kupunguza mgao wa umeme). Maana gharama halisi za pesa zinazotumika katika kuwaweka Wafanyakazi wa Serikali wanaostahili kupewa nyumba na Serikali zinafichwa badala ya kuwekwa hadharani.

~@~~@~@~@~@~@~@~@~@~@~@~@~@~@~@~@~@~@~@~@~@~@~@~@~@~@~@

Mawaziri bado waishi mahotelini
protea.jpg

Wale wa zamani nao wang`ang`ania makazi yao
Serikali bado inaendelea kupoteza mamilioni ya fedha kwa kuwalipia Mawaziri na Naibu Mawaziri kuishi hotelini baada ya kukosa nyumba za serikali.
Uchunguzi wa gazeti la kila siku la NIPASHE JUMAPILI umebaini kuwa bado mawaziri wanaendelea kuishi mahotelini kwa madai kwamba nyumba zao zinafanyiwa ukarabati.
Uchunguzi wa gazeti hilo umebaini kwamba baadhi ya viongozi hao wamepangishiwa nyumba za gharama (apartments), kwenye hoteli kubwa jijini Dar es Salaam.
Baadhi yao wanaishi Ubungo Plaza ambako gharama ni dola za Marekani 105 kwa siku na Protea ambako kwa siku ni kati ya dola za Marekani 155 na 180.

Uchunguzi zaidi unaonyesha kwamba chakula katika hoteli ya Protea ni dola 20 wakati Ubungo Plaza, gharama ya pango inajumuisha mlo mmoja.
Hata hivyo, sababu za kukosa nyumba haziwekwi bayana wakati takwimu zinaonyesha kwamba katika baraza la Mawaziri lililopita, Naibu Mawaziri walikuwa 21 na sasa idadi ni hiyo hiyo.
Mapema Januari mwaka huu (2011), gazeti hilo lilijulishwa kuwa mawaziri hao wataondoka katika hoteli hizo mwishoni mwa mwezi huo(Januari), lakini hadi sasa wanaendelea kuishi katika hoteli hizo.
Chanzo cha kuaminika kutoka Wizara ya Ujenzi kimeliarifu gazeti hilo kwamba bado kuna mawaziri wa zamani ambao hawapo kwenye baraza la sasa, bado hawajaondoka kwenye nyumba za serikali jambo linalowafanya baadhi ya mawaziri wapya kuendelea kukaa kwenye mahoteli.
Chanzo hicho kiliendelea kueleza kuwa sababu zinazotolewa bado zinautata kwa kile kinachoelezwa kuwa nyumba zinafanyiwa ukarabati.
Chanzo hicho kilifafanua kuwa majibu hayo bado ya utata kwani haijawekwa bayana ukarabati huo utamalizika lini wakati serikali inaendelea kupoteza gharama nyingi pasipo na sababu za msingi.
Ofisa mmoja wa Wizara hiyo ambaye hakupenda jina lake litajwe, aliliambia gazeti hilo kuwa ni kweli bado mawaziri wanaendelea kuishi hotelini.
Hata hivyo, alisema kuna baadhi ya mawaziri wamegoma kuishi katika nyumba za serikali kwa madai ya kuwa zina masharti magumu.
Alifafanua kuwa masharti yaliyowakwaza ni kutoruhusiwa kujishughulisha masuala mbalimbali ikiwemo kutolima wala kufuga.
"Unajua kuna baadhi ya mawaziri walikuwa wakiishi katika nyumba zao ambapo walikuwa wanajishughulisha na mifugo yao halafu leo hii waambiwe wasijushughulishe na masuala yoyote yale jambo ambalo wameona wamewekewa masharti magumu sana hiyo ndio sababu ambayo imewafanya wasije katika nyumba zao walizowekewa kwani wanajiona hawapo huru," alisema ofisa huyo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Balozi Hurbert Mrango, ili azungumzie suala, hakukanusha wala kuthibitisha lakini alisema asingweza kulizungumzia kwa maelezo kwamba alikuwa kwenye kikao
Msemaji wa Wizara hiyo, Martin Ntemo, alipotafutwa alimtaka mwandishi kuandika maswali na kuahidi kuyapeleka kwa Balozi Mrango ili ayatolee ufafanuzi.
Hata hivyo, ni takribani wiki mbili sasa tangu maswali hayo yalipowasilishwa wizarani hapo bila kupatiwa majibu yoyote.
Ntemo alipoulizwa majibu ya maswali hayo alisema kuwa mpaka sasa bado hajapatiwa majibu hayo.
 
Sio kwa majumba yaliyojengwa kwa fedha ya wananchi.Tena majumba yenyewe yanajionyesha ni ya bei au gharama kubwa sana. Unaweza kufanya quantity survey hapo au just estimation ni shilingi ngapi za kiTanzania zilitumika.
Inawezekana CCM wapo kwenye mikakati ya kuipa shida serikali itakayokuja badala yao.

Hujaeleweka ndio tatizo la pombe za kienyeji! Hasa hii statement...inawezekana CCM wapo kwenye mkakati wa kuipa shida serikali ijayo badala yao!
 
Nampenda sana magufuli na maauamuzi yake ya busara, akiweaza kuvunja avunje hata kesho ingekua anavunja nyumba ya mtu sawa tungelaumu, lakini majengo ya serikali yenyewe isotusaidia kitu. Tena majengo ya Tanesco na umeme wenyewe hakuna umaskini kila inapokua asubuhi mafisadi wanafaidi tu, yemekua urembo kwani, akiweza kufanya hivyo mapenzi yake yatimizwe.:decision: Anahakili sana mzee huyo.
 
Back
Top Bottom