Wanabodi,
Leo moja ya habari nyeti ni juu ya ombi au pendekezo la Waziri John Magufuli kutaka kuwe na Wizara ya Miundombinu kwa jiji hili la Dar es Salaam.
Dr. Magufuli kwa mtazamo wake anahisi wizara hiyo ikiundwa basi msongamano wa Magari au 'traffic jam' itatoweka hapa mjini,
kwangu naziona hizi kama ni fiksi kwakweli,Magufuli jam haitaondoka kwa kuunda wizara mpya, hvi huoni kuwa utatupa mzigo wa kulipia kodi hiyo wizara?
Tafuta mbinu nyingine ya kuondoa foleni,siyo hii
Leo moja ya habari nyeti ni juu ya ombi au pendekezo la Waziri John Magufuli kutaka kuwe na Wizara ya Miundombinu kwa jiji hili la Dar es Salaam.
Dr. Magufuli kwa mtazamo wake anahisi wizara hiyo ikiundwa basi msongamano wa Magari au 'traffic jam' itatoweka hapa mjini,
kwangu naziona hizi kama ni fiksi kwakweli,Magufuli jam haitaondoka kwa kuunda wizara mpya, hvi huoni kuwa utatupa mzigo wa kulipia kodi hiyo wizara?
Tafuta mbinu nyingine ya kuondoa foleni,siyo hii