Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Hii nimeiona Facebook Wall ya Mzee John Kitime na nikaona si vibaya kuileta hapa tuijadili maana ina ukweli mkubwa sana ndani na mafundisho kwa jamii yetu.
John Kitime
Dah hii kali, jamaa alikuwa amelazwa, zikatakiwa laki5 afanyiwe operesheni, ndugu wakapiga chenga mwezi mzima hawana pesa mpaka akafariki. Siku mbili baada ya hapo walikuwa wameshachangia,
Sanduku-700,000.00
Usafiri- 1,500,000.00
Tshirt- 400,000.00
Chakula- 1,237,000.00
MASHADA-237,000.00
Halafu wanadai,'TULIMPENDA LAKINI MUNGU ALIMPENDA ZAIDI'.....UNAFIKIIIIIIIIIIIII​IIIIIIIIIIIIIII
John Kitime
Dah hii kali, jamaa alikuwa amelazwa, zikatakiwa laki5 afanyiwe operesheni, ndugu wakapiga chenga mwezi mzima hawana pesa mpaka akafariki. Siku mbili baada ya hapo walikuwa wameshachangia,
Sanduku-700,000.00
Usafiri- 1,500,000.00
Tshirt- 400,000.00
Chakula- 1,237,000.00
MASHADA-237,000.00
Halafu wanadai,'TULIMPENDA LAKINI MUNGU ALIMPENDA ZAIDI'.....UNAFIKIIIIIIIIIIIII​IIIIIIIIIIIIIII