Tutafika tu
New Member
- Feb 29, 2008
- 3
- 0
Hayo maneno ya Chiligati yanaonyesha jinsi alivyojisahau kutetea maslahi ya majority (wananchi wote wanaoathirika kwa ajili ya ufisadi). Inauma sana unapoona kiongozi bila ya aibu anaongea maneno yasiyo na busara. Ifikie wakati viongozi wetu washtuke na kubadili mtazamo wa mambo! wananchi tumechoka kunyanyaswa na kudharauriwa kwa utapeli wa wanasiasa wetu!