M Museven JF-Expert Member Aug 22, 2011 629 447 Jun 7, 2012 #1 Naomba msaada ktk Biology: Hivi jogoo anawika kwa hiari au ni kwa silika kama tunavyopiga chafya binadamu? Attachments cock3.jpg 18.4 KB · Views: 220
Naomba msaada ktk Biology: Hivi jogoo anawika kwa hiari au ni kwa silika kama tunavyopiga chafya binadamu?
Elli Platinum Member Mar 17, 2008 55,483 86,000 Jun 7, 2012 #2 anafaa kwa kitoweo, kuwika kwa jogoo yupi mmojawapo? huyo hapo pichani au yule mwingione? ila bado wote jibu litakua moja tu, haya bhana
anafaa kwa kitoweo, kuwika kwa jogoo yupi mmojawapo? huyo hapo pichani au yule mwingione? ila bado wote jibu litakua moja tu, haya bhana
KakaJambazi JF-Expert Member Jun 5, 2009 18,711 12,067 Jun 7, 2012 #3 Ni kama vile jicho linavyo blink.
Mawaiba JF-Expert Member Dec 11, 2011 417 150 Jun 8, 2012 #4 Jogoo gani tena mkuu? Ni huyu au yule mwingine? Kama ni yule MWINGINE huwa hawiki mpaka aone chakula..!
Jogoo gani tena mkuu? Ni huyu au yule mwingine? Kama ni yule MWINGINE huwa hawiki mpaka aone chakula..!
SMU JF-Expert Member Feb 14, 2008 9,616 7,863 Jun 8, 2012 #5 Anawika (ana communicate) kwa hiari! Akiwika jogoo mmoja mtaani, likely utasikia jogoo mwengine 'anajibu' kwa kuwika pia!
Anawika (ana communicate) kwa hiari! Akiwika jogoo mmoja mtaani, likely utasikia jogoo mwengine 'anajibu' kwa kuwika pia!