mummyjimmy
Member
- May 13, 2011
- 13
- 3
Habari wadau,
Jamani kuna kazi ziliadvertisiwa last week za udereva kibacha safari's na one of my relative aliapply but cha kushangaza wamemtumia email eti amechaguliwa kufanya nao kazi bila kufanyiwa usaili wa vitendo kutokana na CV yake imejitosheleza. Alafu eti anatakiwa kulipa 30,000/- kwaajili ya training ya jinsi ya ku - attend wageni through Tigo Pesa na wakishapata uo mshiko ndo watamwelekeza kwa simu offici zao zilipo.
my question is kuna mtu yeyote anaeijua hii kampuni au ni watu wanataka kula pesa za maskini jamani.
Jamani kuna kazi ziliadvertisiwa last week za udereva kibacha safari's na one of my relative aliapply but cha kushangaza wamemtumia email eti amechaguliwa kufanya nao kazi bila kufanyiwa usaili wa vitendo kutokana na CV yake imejitosheleza. Alafu eti anatakiwa kulipa 30,000/- kwaajili ya training ya jinsi ya ku - attend wageni through Tigo Pesa na wakishapata uo mshiko ndo watamwelekeza kwa simu offici zao zilipo.
my question is kuna mtu yeyote anaeijua hii kampuni au ni watu wanataka kula pesa za maskini jamani.