Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 6,633
- 10,713
Mimi ni Advanced diploma holder wa Accounts, huu ni mwaka wa pili sasa nasaka ajira bila mafanikio sana sana nimeishia kufanya interview za kutosha bila matokeo
Baada ya kutafakari kwa muda na kukutana na mtaalamu mmoja wana NGO yao ya utafiti alinipa data ambazo kidogo zinatisha
Mfano mwaka wetu 2010 tulihitimu wahasibu kutoka vyuo vyote Tanzania tulikuwa zaidi ya elf15 na soko linahitaji wahitimu wasiozidi elf5 hii inamaana karibu wahitimu zaidi ya elf10 tulikuwa tuna hang
Sasa jumlisha mwaka 2011 wahitimu waliongezeka na mwaka huu wanatarajiwa kuhitimu wahasibu zaidi ya elf20 tanzania yote lakini soko la ajira ni kama wahitimu elf5 hadi sita tu
Ukichukua wahitimu waliokuwa wanakosa kazi miaka yote hiyo na ujumlishe na wasasa uje kutoa watakao pata ajira idadi inayobaki ni hatari tupu, na kibaya zaidi wote tunategemea ajira tu
Mchanganuo huu ni kwa wahitimu wa mchepuo wa kihasibu tu, bado hujagusa wa rasilimali watu hr, ambao idadi yao inatisha, na pia wanasheria vile vile na nyanja zingine
,bora walimu na drs
Na hapo sijazungumzia ajira za kubebana, ujuzi, na kuchuana na wale ambao wako kwenye ajira tayari lakini wanaomba pia, plus kuna wenzangu na mimi tuna gentleman pass, viinglish vya kubabia basi inakuwa balaa zaidi
Tatizo lingine serikali imeshinda kuandaa mfumo mzuri wa ajira,mambo ni shaghala baghala
kwenye ajira
Hakuna utaratibu mzuri wa uwezeshaji vijana kujiajiri
Lakini sasa hatuwezi tukawa kila siku tunalia na serikali tu wakati tunadidimia na umri unasonga na njia zingine zipo za kutoka
Ni lazima sasa tufikirie kujiajiri kama wajasiliamali iwe ni first periorty na ajira inafuatia
Pia nimegundua kwenda front peke yako ni ngumu pia ila kama ma graduate wakijiunga wawili watatu mkapanga kitu cha kufanya naona nafasi ya kutoka ipo kubwa
Binafsi ninaplan za kumwaga ila wakati mwingine nakwama jinsi ya kuimplement kwa sababu za kiuchumi na kukosa mawazo mbadala
Kama tukiwa watu kama watano au kumi hivi naamini tunaweza kushare ideas na kuja na kitu kizito
Natumia wasaa huu kuomba watu ambao wapo siriazi kabisa tutafutane then tuone inakuwa
Tukumbuke kujaribu si kushindwa na something is better than nothing
Waweza kutumia uzi huu au check na mimi kwa pm
Mawazo zaidi yanakaribishwa
Muhanga wa ajira
Baada ya kutafakari kwa muda na kukutana na mtaalamu mmoja wana NGO yao ya utafiti alinipa data ambazo kidogo zinatisha
Mfano mwaka wetu 2010 tulihitimu wahasibu kutoka vyuo vyote Tanzania tulikuwa zaidi ya elf15 na soko linahitaji wahitimu wasiozidi elf5 hii inamaana karibu wahitimu zaidi ya elf10 tulikuwa tuna hang
Sasa jumlisha mwaka 2011 wahitimu waliongezeka na mwaka huu wanatarajiwa kuhitimu wahasibu zaidi ya elf20 tanzania yote lakini soko la ajira ni kama wahitimu elf5 hadi sita tu
Ukichukua wahitimu waliokuwa wanakosa kazi miaka yote hiyo na ujumlishe na wasasa uje kutoa watakao pata ajira idadi inayobaki ni hatari tupu, na kibaya zaidi wote tunategemea ajira tu
Mchanganuo huu ni kwa wahitimu wa mchepuo wa kihasibu tu, bado hujagusa wa rasilimali watu hr, ambao idadi yao inatisha, na pia wanasheria vile vile na nyanja zingine
,bora walimu na drs
Na hapo sijazungumzia ajira za kubebana, ujuzi, na kuchuana na wale ambao wako kwenye ajira tayari lakini wanaomba pia, plus kuna wenzangu na mimi tuna gentleman pass, viinglish vya kubabia basi inakuwa balaa zaidi
Tatizo lingine serikali imeshinda kuandaa mfumo mzuri wa ajira,mambo ni shaghala baghala
kwenye ajira
Hakuna utaratibu mzuri wa uwezeshaji vijana kujiajiri
Lakini sasa hatuwezi tukawa kila siku tunalia na serikali tu wakati tunadidimia na umri unasonga na njia zingine zipo za kutoka
Ni lazima sasa tufikirie kujiajiri kama wajasiliamali iwe ni first periorty na ajira inafuatia
Pia nimegundua kwenda front peke yako ni ngumu pia ila kama ma graduate wakijiunga wawili watatu mkapanga kitu cha kufanya naona nafasi ya kutoka ipo kubwa
Binafsi ninaplan za kumwaga ila wakati mwingine nakwama jinsi ya kuimplement kwa sababu za kiuchumi na kukosa mawazo mbadala
Kama tukiwa watu kama watano au kumi hivi naamini tunaweza kushare ideas na kuja na kitu kizito
Natumia wasaa huu kuomba watu ambao wapo siriazi kabisa tutafutane then tuone inakuwa
Tukumbuke kujaribu si kushindwa na something is better than nothing
Waweza kutumia uzi huu au check na mimi kwa pm
Mawazo zaidi yanakaribishwa
Muhanga wa ajira