Leo ndo siku ambayo anaweza akazungumzia POSHO,
Leo naona kama anaakili kidogo, anaongea kwa makini kweli.
Leo naona kama anaakili kidogo, anaongea kwa makini kweli.
SITTA yuko CAPITAL TV anatema ukweli wake na hapindishi hisia zake hata kidogo. mwenye chance acheki.
Leo naona kama anaakili kidogo, anaongea kwa makini kweli.
The guy is gud. Ni politician anayeelewa anachokifanya
Anataka ishu ya posho ijadiliwe kwa upana na kwa uwazi na kwenye kila nguzo ya serikali..mahakama, bunge, na serikali kuu!eti eeenh!
Kwa mtazamo wako,
Anataka ishu ya posho ijadiliwe kwa upana na kwa uwazi na kwenye kila nguzo ya serikali..mahakama, bunge, na serikali kuu!
Kwa muono wangu naona yupo sahihi, tusiwalaumu wabunge peke yao
Leo ndo siku ambayo anaweza akazungumzia POSHO,
SITTA yuko CAPITAL TV anatema ukweli wake na hapindishi hisia zake hata kidogo. mwenye chance acheki.
subiri,hakawii Kujamba
Ndugai analaumu kwanin WATANZANIA wanapenda KULAUMU,
ANASEMA UCHUMI UNAKWENDA VIZURI,
DUH
hapohapo anakiri kuwa uchumi wetu umeathirika
'Kumbe kuna wadau wanakula posho zaidi ya laki 2 za wabunge?' so ndugai anataka lak 2 coz kuna wadau wanakula zaidi!