SAMUNGE TZ
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 254
- 23
Kwa kweli huyu ndugu ni janga,bunge kafungua yeye,maswali karuhusu yeye,vurugu kaanzisha yeye,polisi kaita yeye.huyu anahitaji maombi maalumu.
Mwenyekiti wa CCM taifa alishawaambia CCM waache kutegemea polisi kila wanapobanwa na wapinzani bali wajibu hoja kwa hoja,sasa Ndugai anatumia polisi hadi bungeni?Lahaula.nchi hii ni yetu sote na kila mtanzania anahaki sawa na mwingine sio ndugai tu.
Mwenyekiti wa CCM taifa alishawaambia CCM waache kutegemea polisi kila wanapobanwa na wapinzani bali wajibu hoja kwa hoja,sasa Ndugai anatumia polisi hadi bungeni?Lahaula.nchi hii ni yetu sote na kila mtanzania anahaki sawa na mwingine sio ndugai tu.