kumbe hajui wanawake wa kipare walivyo watata? aangalie jinsi kaka yake mzee john malechela anavyopatishwa shida na mama anne kilango.mke na mume kila mtu na chumba chake.
Katika kipindi cha STAR TV leo, Naibu spika, Job Ndugai ameshindwa kujibu swali la mtangazaji lililomtaka aeleze iwapo ana mke na ana watoto wangapi. Ndugai amesema ni vigumu kwa mwanaume kujua ana watoto wangapi kwa kuwa kuna pitapita nyingi hivyo unaweza kutaja idadi isiyo kweli!
Kumbe hafai hata kwa kurumangia?kama ameshindwa kusimama kwa ajili ya familia yake ya kwanza kamwe hafai kua kiongozi hata kwa watoto wa chekechea ,wanaume karibu wote wana nyumba ndogo lakini hatelekezi watoto na mke hata siku moja .kutelekeza mke ni ushamba wa wa wanawakeKimsingi mke wake wa kwanza wa ujanani amemtelekeza huko Tabata ni Mchaga sijui amezaa nae matoto wangapi, ila sasa hivi kazuzuka na hawala yake mmoja ambae kamfanya mke wa pili anaitwa Dr Fatuma ni mpare , huyu mwanamke Mh. Ndugai amekufa ameoza kabisa , walikutana kongwa halafu mwanamke huyo akahamishiwa Dar, kongwa tena Ndugai pakawa hapakaliki kawatelekeza wapiga kura wake yeye na mwanamke wa kipare. Ndio maana mwaka 2015 tunataka tumpige teke, tunamweka mbunge kwa tiketi ya CHADEMA anaitwa Dr. Gidion John Kasilagila Bsc. Msc, phD raia wa Mtanana , habari ndiyo hiyo.
Mh. Mdee alimwonyesha kidole tusi kwa sababu ni shemeji yake, sasa dole la shemeji halina uchungu, sasa yeye kama amemind Mheshimiwa hana noma akitaka wazime taa kwani kuna nini?
JF bana!!! Japokuwa huyu jamaa simkubali kabisa lakini hili jukwaa nalo limejaa watu ambao hawajielewi wanataka nini. Kuna watu humu kipindi kile anazungumziwa Slaa walikuwa bize kumtetea kuwa aachwe maana yale ni maisha yake binafsi lakini leo hii imekuwa ishu kwa kuwa ni Ndugai??!! Where is JF spirit???!!!
You are missing the point. Sijasema nakubaliana na JN, nachosema ni kwamba kwa standard za hapa JF hayo ni mambo binafsi kwa hiyo haina tija kuyajadili. Kama ungekuwa unafuatilia mijadala inayomuhusu Slaa, utakubaliana na mimi kuwa kulikuwa na mazingira ya jumla kuwa hayo ni mambo yake binafsi hivyo haina haja ya kumjadili. Sasa swali ni je, kwani hii ishu ya JN siyo mambo binafsi. Kumbuka najaribu kuwa fair tu, I have nothing against JN or Slaa for that matter.Kwani Dr Slaa amewahi kusema hajui ana watoto wangapi? Utashindwaje kujua una watoto wangapi au ndio kulala na machangudoa peku....!!!!!
Mpare anampelekesha puta sasa!Kama baba wa William.
Hawa Wagogo ni limbukeni
Aulizwe tena, labda ameshapata idadi kamili...
Unachosema ni kweli kabisa na kuna wengine wataka kugombea urais.