Joaquim Chissano wins the the Mo Ibrahim Prize for Achievement in African Leadership

...my girl gotta girlfriend, I just found out but it's alright!
as long as I can be with her too..
it really is not a problem...
Cuz I'ma make it do what it do
Cuz having two chicks, it's better than no chicks...
I rather just join in, keep my girl, and the other one too.....


Lol

Nyani...I can see you like to get your groove on. That's freak stuff...I didn't know you down with that...
 
pongezi ziende kwa mshindi, na mshindwa hakuna maana na yeye pia kafika mbali. naye yeye anastahiki hongera.

sasa alau choyo na ubinafsi wa baadhi ya watu utapungua na roho kuwatulia
 
Aluta continua. Tuzo imepata Mtu, na siyo mtu kapata Tuzo. Naam, comrade Chisanno anastahili kabisa. Kufanya usuluhisho na Renamo lilikuwa Jambo muhimu sana wakati ambapo Mkapa bado alikuwa anan'angania kuwa Hawezi 'kusoma vikaratasi vya wapinzani' katika kusuluhisha mgogoro wa Zanzibar. Mkapa, Ulie tu! Leo hii ukienda msumbiji utastaajabu hatua pana na ndefu sinazopigwa katika nyanja ya kiuchumi. Hakuna mtu tena anafikia kurudi msituni. now thats something!
 
Ahahahahahahahaha.....lakini hakutakuwa na tape wala photos...labda wanilie njama na kurekodi kisiri siri...

ha ha ha ha ,

umegundua kuwa digital age kamera zinakuwa ndogo day after day!

Una case ya kujibu hizi picha zikivuja.....

This time sitajaribu kukutetea hata kidogo lol
 
ha ha ha ha ,

umegundua kuwa digital age kamera zinakuwa ndogo day after day!

Una case ya kujibu hizi picha zikivuja.....

This time sitajaribu kukutetea hata kidogo lol

No..no...no...sijafanya kosa lolote. Tafadhali usimwambie...hii ni fantasy tu
 
No surprise at Chissano award.

_44191140_chissano_poster_afp203.jpg

Chissano was returned to power
in 1999 before resigning in 2004

Jose Tembe said:

BBC News, Maputo

Mozambicans interviewed on the streets of Maputo on Monday expressed no surprise that former President Joaquim Chissano had won the Mo Ibrahim prize for good governance in Africa. They said he deserves it because he played a very important role in achieving peace in Mozambique, and is now serving as a voice for peace elsewhere in the continent through his work in the African Union and the United Nations.

"He deserves the prize for his good work since taking office after the death of Mozambique's first president Samora Machel," said Telma Cumbe, a student. Gaddafi and Mugabe should take the example of Mr Chissano who stepped down even though he had one mandate to run.

Sam Gudo

"He helped boost the country's economy after the chaos of war," she said. Sam Gudo said Mr Chissano, who stood down as president at the end of 2004, could serve as an example to long-serving leaders.

"Other African leaders like (Libya's) Muammar Gaddafi and (Zimbabwe's) Robert Mugabe should take the example of Mr Chissano who stepped down even though he had one mandate to run," Mr Gudo said.

There were differing views on what Mr Chissano should do with the considerable prize money: a total of $5m over 10 years, followed by an additional $200,000 per year. "He should use the money in his foundation to strengthen peace and democracy in Africa," said journalist Lionel Muchano.

Economist Evaristo Cumbana said Mr Chissano should use the prize money for social development projects in Mozambique. "The prize is a prestige award for Mozambique and a good example for good governance," he said.

Chisano hongera kwa zawadi hii na tunakutakia mafanikio kwa vyovyote vile utakavyotumia ni uamuzi wako. Angalau hukuiba pesa ya walipa kodi kama marais wengine.
 
Natafuta sehemu waliyoandika kuwa washindani walikuwa ni akina nani

Kama Mkapa aliweza kufikia hatua ya kushindana/kuchuana na Chissano..........nina wasiwasi na hiyo timu iliyomchagua Chissano..............

It appears to me..............Chissano ni First Devil na Mkapa is the second devil.........kama ni kweli walikuwa wakichuana na Chissano..............naomba jamani pahala walipoonyesha Mkapa alikuwa akichuana na Chissano

Maana kama Mkapa ni Devil asilan asingekuwa karibu na Chissano kuchuana
 
Mozambicans interviewed on the streets of Maputo on Monday expressed no surprise that former President Joaquim Chissano had won the Mo Ibrahim prize for good governance in Africa. They said he deserves it because he played a very important role in achieving peace in Mozambique, and is now serving as a voice for peace elsewhere in the continent through his work in the African Union and the United Nations.

Heshima mbele kwa Rais Chisano, hiyo zawadi ni haki yake ukizingatia kuwa leo Msumbiji, tulioilalia macho kuikomboa kiuchumi wako bomba kuliko sisi, tena kwa mbali sana, toka alipofariki Mkuu Samora, mnpaka leo hajapewa urais mtu asiyekuwa na uwezo, yaani hawa wameiga mfano wa U-China, kila kiongozi wao wa juu ni bomba,

Kwa hili sifa nyingi zimuendee marehemu Samora, kumbe alikuwa amezungukwa na viongozi safi, sio wahuni huni tu na wababaishaji, kila anayetoka ni bomba, na anayeingia ni bomba, na walioko pembeni ni bomba, that is leadership sio kuzungukwa na wasanii watupu, hatimaye sifa zao zimeonekana na dunia, mkuu Chisano huyo ni safi, na ni humble pia, na anaheshimu wananchi wake na wa nchi zingine, anaheshimu sheria za nchi yake sana,

Wa-Tanzania tuige mfano huo, tuache longo longo tu uongozi hakuna, maneno meeeengi! wapambe weeeeeeengi! matendo hakuna, hawa kina Chisano na Nujoma, zamani walikuwa wakiishi YMCA pale bongo, sisi tunacheza disco toto la DJ Kali Kali, utawakuta wamekaa pale kwenye ngazi za uwanja wa Basketball pale kama wajinga sisi tumenga'angania disco tu la music uliopigwa Europe, kwa kweli ninazimia nao sana hawa wakuu,

Hongera tena kwa Mkuu Chisano, na Bongo tuige mfano!
 
salim Ahmed alikuwa ndani ya nyumba katika kumchagua ataeramba kitita, jee hakuchangia kuanguka nkapa kutokana na kulipa kisasi kwa aliofanyiwa dom?
 
salim Ahmed alikuwa ndani ya nyumba katika kumchagua ataeramba kitita, jee hakuchangia kuanguka nkapa kutokana na kulipa kisasi kwa aliofanyiwa dom?

Sidhani kama kwenye mijadala hiyo kuna chances za ku-entertain majungu kama ilivyokuwa kwenye CC na NEC mwaka 2005. Vichwa vilivyo kwenye hiyo kamati haviwezi kukubaliana na maelezo ya kumwangusha mtu ambayo hayana evidence, so mtu anapokuja na hoja lazima awe na evidence ya kui-support!
 
Ogah,
Kweli swali lako ni la msingi maanake isije kuwa ndio hadithi za Wadanganyika... hawaoni nje ya kabati na hakuna kiongozi Afrika isipokuwa alotoka TZ. Ila tu kumbuka Devill is only smarter than human ikiwa huna imani, na rahisi kujichanganya katika kundi la watu.
Mimi nadhani kama kweli Mkapa yupo ktk final list basi kaingizwa kutokana na Blair/Mo Ibrahim wenyewe. Kumbuka Mkapa ndiye rais wa kwanza kukubali kuweka sahihi ya kuunga mkono mapendekezo ya mikopo kutolewa kwa kufuata good governace kabla yeye mwenyewe hajatia tim kuachia lawama wanaofuata..
 
...my girl gotta girlfriend, I just found out but it's alright!
as long as I can be with her too..
it really is not a problem...
Cuz I'ma make it do what it do
Cuz having two chicks, it's better than no chicks...
I rather just join in, keep my girl, and the other one too.....

Yo man, 4 real dis is some HOT sh.., but before u get ya 'telescopic rod' extended betta probe out dawg in order to keep ya ferocious navigation 'within scope', coz u might find that the 'other chick' has two 'legal dudes' on her side, and before you know, baaam! you are in a 'swinging syndicate', will u be ready for that S..t?! lol

No..no...no...sijafanya kosa lolote. Tafadhali usimwambie...hii ni fantasy tu

Yes...yes...yes...guilty conscious
....actionable fantasy?!


SteveD.
 
Nitakuwa mchache wa shukrani nisipotoa pongezi kwa comrade Chissano. Kwa kweli anastahili hii zawadi. huyu bwana katika utumishi wake wa umma aliweka maslahi ya wananchi na nchi yake mbele. Well kama binadamu alikuwa na mapungufu yake lakini alijitahidi kuiweka Msumbiji katika ramani ya dunia baada ya vita ya kutisha na kusikitisha.

Utawala bora unawezekana katika Africa, tatizo ni la viongozi wetu wahuni. Usitegemee ukiingia kwenye uongozi kwa mizengwe na rushwa kesho uwe kiongozi safi. JK anaweza kuwa msafi lakini kwa sababu ya watu waliombeba na kumfikisha alipo basi lazima alipe fadhila. Jiulize mtu aliyesotea kazi kwa elimu yake na vyeti vyake hata kwenye ofisi au maamuzi anajiamini sana tofauti na mtu aliyeteuliwa AU ALIYEPEWA KAZI KWA KI-MEMO.. Kama JK angepata nomination kwa merit na kuwa kiongozi anayekubalika ndani ya chama, angekuwa tofauti lakini kwa vile aliaandaliwa na jamaa wajanja akina RA wakampa pesa nyingi za kampeni basi leo hana guts za kufanya "painful decisions" kwa mufaa ya nchi.

Kamaa jamaa livyosema, perhaps we shall learn along the way namna ya kuchagua viongozi na sio kuchagua watawala. Maana democrasia ni kama shuleni the more you practice the higher are the chances of success.
 
Ndg yangu Zitto,Rais bora kashapatkana,nimeambatanisha habari ya mabo yalovyo kuwa kwa maelezo zaidi

http://allafrica.com/stories/200710220417.html

Joaquim Chissano, the former President of Mozambique, has been announced today as the winner of the inaugural Mo Ibrahim Prize for Achievement in African Leadership. The largest individual award in the world, it comprises:
• US$5 million over 10 years and US$200,000 annually for life thereafter

• Up to US$200,000 a year for 10 years towards the winner's public interest activities and good causes

Announcing the Laureate in front of an audience of London's African diplomatic community, civil society representatives and the media, Kofi Annan, the Chair of the Prize Committee, said that "President Chissano's achievements in bringing peace, reconciliation, stable democracy and economic progress to his country greatly impressed the committee. So, too, did his decision to step down without seeking the third term the constitution allowed."

Praising his Government's economic progress, poverty reduction programmes, infrastructure development and work to tackle HIV/AIDS, Kofi Annan stated that "it is his role in leading Mozambique from conflict to peace and democracy that President Chissano has made his most outstanding contribution." He also commended President Chissano for his "major contribution outside his country's borders" which included providing "a powerful voice for Africa on the international stage".

Kofi Annan stated that "the Prize celebrates more than just good governance. It celebrates leadership. The ability to formulate a vision and to convince others of that vision; and the skill of giving courage to society to accept difficult changes in order to make possible a longer term aspiration for a better, fairer future."

The annual Prize has been established by the Mo Ibrahim Foundation, launched in October 2006 as an African initiative to strengthen governance in Africa. The winner was selected by the Prize Committee of six eminent individuals who assessed every sub-Saharan African leader who has left office in the last three full calendar years on their exercise of leadership.

The Committee drew on research from the recently published Ibrahim Index of African Governance, and a range of other sources, to assess the quality of governance in the areas of economic and social development, peace and security, human rights, democracy and the rule of law. The Prize aims to encourage leaders who fully dedicate their tenure of office to surmount the development challenges of their countries, improving the livelihoods and welfare of their people and consolidating the foundation for sustainable development.

On hearing the outcome of the Prize Committee's deliberations, Mo Ibrahim, the founder of the Mo Ibrahim Foundation, said: "I am absolutely delighted that Joaquim Chissano has been selected as the first Laureate. As a man who has reconciled a divided nation and built the foundations for a stable, democratic and prosperous future for the country, he is a role-model not just for Africa, but for the rest of the world."
 
HONGERA SANA MZEE JOACHIM CHISANO,UMETUNUKIWA TUZO YENYE KUSADIFIANA NA MAISHA YA UONGOZI WAKO,NI USHINDI WA SADC,AFRICA,DUNIA LAKINI NI USHINDI WA RENAMO WALIOKURUHUSU KWA IMANI KUIZALISHA MSUMBIJI HII INAYOSIFIKANA; NIENDE MBALI KWA KUWAPONGEZA WATANZANIA KWA USHINDI HUU WA CHISANO KWA SABABU MBILI 1.MCHANGO WAO WA KUIKOMBOA MSUMBIJI,KUMJENGA CHISANO NA FLERIMO YAKE NA ZAIDI KUWAONYESHA RENAMO NJIA YA KUPITA 2.KWA MUJIBU WA BBC J'MOSI MCHUANO ULIKUWA NI KATI YA MKAPA NA CHISANO AMBAO WOTE NI VIJANA WA KAMBARAGE,LAKINI INAFURAHISHA SANA PALE UNAPOONA WATU HAWA WAWILI WAKILINGANISHWA KWA HISTORIA ZAO KISIASA,UTENDAJI WAO NA NAMNA WALIVYOZIACHIA NYADHIFA HIZO BILA MAKEKE.

NATHUBUTU KUSEMA NI USHINDI WA TANZANIA,NI SAHIHI CHISANO KUPEWA TUZO YA MO IBRAHIMU KWA SABABU MOJA KUU,1986-2004 NI RAIS WA MOCAMBIQUE,AMEPATA MARIDHIANO YA KIJAMII NCHINI MWAKE,UCHUMI UNA MUELEKEO MZURI,RUSHWA IMEPUNGUA,FURSA ZA ELIMU ZIMEONGEZEKA NA WANANCHI WAKE WAKO TAYARI KUSONGA MBELE LAKINI PIA NI SAHIHI KWA MKAPA KUWA NYUMA YAKE AU MIONGONI MWA WAFIKIRIWA;TANZANIA ALIYOIACHA IKO HURU SANA KTK NYANJA ZOTE,FURSA ZA KUJILETEA MAENDELEO ZIKO WAZI,RUSHWA INAZUNGUMZWA HADHARANI TANGU UHURU NA SASA NI ZAIDI,FURSA ZA ELIMU ZIMEONGEZEKA,MARIDHIANO YA KIJAMII YAPO INGAWAJE ALITATIZWA SANA NA CUF,MWEMBECHAI SAGA NA UCHAGUZI WA NDANI CCM 2005. KTK HALI HIYO AMEJIKUTA ANAYO MENGI YA KUJIELEZA AU KUCHAMBULIWA KTK MO IBRAHIMU KULIKO CHISANO AMBAYE PIA AMETOFAUTIANA NAYE HATA KIPINDI CHA KUKAA MADARAKANI.

Congarts JO Chisano and Bravo Ben William Mkapa
 
Back
Top Bottom