He hivi kumbe ni Dayton, mimi nikajua ni Clayton; Coastal wako vizuri mwaka huu na matokeo yakiisha hivi hivi wanawashusha wanalambalamba, hongereni sana Coastal, vipi Mphamvu mbrazili wenu anaanza kuitumikia club lini?
Kutoka Chamazi, Nsa Job kaumia vibaya baada ya kugongana na Golikipa wa JKT Ruvu na pale uwanjani hakuna goli la wagonjwa; hawa kamati ya ligi na TFF macho juu juu tu kwenye mapato ya mlangoni wanashindwa kupeleka hata gari la wagonjwa uwanjani, hawajui kama kwenye mchezo wa mpira muda wowote mtu anaumia na tumeshuhudia mara kibao watu wanafia uwanjani, uzembe kama huu inabidi uachwe.
Mphamvu, Hivi Said Swed kabla ya kujiunga na Coastal alikuwa timu gani? Kikosi hatari cha Simba cha mwaka 2002/2003 naona wamebaki wawili tu wanaocheza ligi kuu, Juma Kaseja na Said Swed; nakikumbuka golini akiwepo Kaseja, Said Swed mbili, tatu Ramdhan Wasso, Victor Costa nne, tano Boniphace Pawasa, sita Christopher Alex, saba Steven Mapunda, nane Matola, tisa Emmanuel Gabrie au Athumani Machupa, kumi Yusuf Macho na kumi na moja Ulimboka Mwakingwe, kawaulize Zamalek wanalijua hilo kosi.Dakika ya 90
Ruvu 0 - 3 CUSC
Mphamvu, Hivi Said Swed kabla ya kujiunga na Coastal alikuwa timu gani? Kikosi hatari cha Simba cha mwaka 2002/2003 naona wamebaki wawili tu wanaocheza ligi kuu, Juma Kaseja na Said Swed; nakikumbuka golini akiwepo Kaseja, Said Swed mbili, tatu Ramdhan Wasso, Victor Costa nne, tano Boniphace Pawasa, sita Christopher Alex, saba Steven Mapunda, nane Matola, tisa Emmanuel Gabrie au Athumani Machupa, kumi Yusuf Macho na kumi na moja Ulimboka Mwakingwe, kawaulize Zamalek wanalijua hilo kosi.
na ukija benchi ulikua unamkuta kijana mtukutu Sekelo Barnabas, Simba ilikuwa ni balahaMphamvu, Hivi Said Swed kabla ya kujiunga na Coastal alikuwa timu gani? Kikosi hatari cha Simba cha mwaka 2002/2003 naona wamebaki wawili tu wanaocheza ligi kuu, Juma Kaseja na Said Swed; nakikumbuka golini akiwepo Kaseja, Said Swed mbili, tatu Ramdhan Wasso, Victor Costa nne, tano Boniphace Pawasa, sita Christopher Alex, saba Steven Mapunda, nane Matola, tisa Emmanuel Gabrie au Athumani Machupa, kumi Yusuf Macho na kumi na moja Ulimboka Mwakingwe, kawaulize Zamalek wanalijua hilo kosi.
Coastal Union ni balaa, wakikosa nafasi ya pili basi nafasi ya tatu ni yao katika hii VPLFull time: Jkt Ruvu 0-3 Coastal union.
Naam na Mark Sirengo.Wapi Amri Said 'Jaap Stam'?
Vp kwenye jukwaa la siasa umeishatupia vitu!!!!!!!Kweli nyie ni wapenzi wa soka waatu tuna sherekea na matokeo ya udiwani nyie na mpira ..hahahah
CCM tuna wakimbiza mbaya kabisa wewe nenda utaona...kama Azam FC alivyo kimbizwa jana na Simba..Vp kwenye jukwaa la siasa umeishatupia vitu!!!!!!!
....hayo ndo maneno ngoja nikazame.CCM tuna wakimbiza mbaya kabisa wewe nenda utaona...kama Azam FC alivyo kimbizwa jana na Simba..