JKT RUVU 1993 (OPeresheni Miezi SIta)

Ntambaswala

JF-Expert Member
Dec 7, 2008
255
78
Jamani naomba kuwakumbuka vijana waliokuwa Ruvu JKT 1993- operesheni miezi sita. Mnamkumbuka Afande Kibuyu, Afande Amani, Afande Simba, Afande Linus, Afande Mazani, Afande .........ambaye alikuwa ni major akatolewa nyota moja sababu ya mademu, afande yule aliyepotea Uganda wakati wa vita na LMG kwa miaka miwili akaja kupatikana baadaye buti yake imeota majani.

Nakumbuka baadhi ya makuruta.
1. Deo Mnyamani
2. Magilani Mollel
3. Ben
4. Linus
5. Fahad Ibrahim
6. Davida Martin (Tawfiq)
7. Dorin Mmari
8. Agness Ignas
9. Irene Maira
10. Hellen Lyatuu
11. Siasa
12. Edga Temba
13. Kapaya Kisesa
14. Freddy Mkonyi
15. Fatuma Selemani
16. Janet Rugarabamu
17. Neema Sanga
18. Edwin Sanda

Natumaini wengine ni members humu kama mimi mwenyewe
 
Jamani naomba kuwakumbuka vijana waliokuwa Ruvu JKT 1993- operesheni miezi sita. Mnamkumbuka Afande Kibuyu, Afande Amani, Afande Simba, Afande Linus, Afande Mazani, Afande .........ambaye alikuwa ni major akatolewa nyota moja sababu ya mademu, afande yule aliyepotea Uganda wakati wa vita na LMG kwa miaka miwili akaja kupatikana baadaye buti yake imeota majani.

Nakumbuka baadhi ya makuruta.
1. Deo Mnyamani
2. Magilani Mollel
3. Ben
4. Linus
5. Fahad Ibrahim
6. Davida Martin (Tawfiq)
7. Dorin Mmari
8. Agness Ignas
9. Irene Maira
10. Hellen Lyatuu
11. Siasa
12. Edga Temba
13. Kapaya Kisesa
14. Freddy Mkonyi
15. Fatuma Selemani
16. Janet Rugarabamu
17. Neema Sanga
18. Edwin Sanda

Natumaini wengine ni members humu kama mimi mwenyewe
huyu edwin sanda ndio huyu mjumbe wa NEc CCM kupitia vijana maana mwaka juzi alikuwa na miaka 29, kwa hesabu za haraka alipita JKT mwaka 93 akiwa na miaka 15
 
Nilivyoelezwa Maginani Mollel is no longer in this World; PRAISE THE LORD!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom