JKT HAINA MAANA UKIMWI UTAUA DADA ZETU, Me naomba hizo pesa ziende kwenye mishahara ya walimu au wajenge mahospital. JKT YA NINI itatusaidia nini?? Ni sawa na MWENGE wa uhuru hauna maana unamaliza pesa. Jamani wabunge USE UR BRAIN ti think. It is not fare to resune JKT for what???
Tafakari
Tafakari