sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,524
- 863
Jeshi la kujenga Taifa, limeingia mkataba wenye harufu mbaya, na mtuhumiwa wa wizi wa fedha za walipa kodi ktk akaunti ya madeni ya nje (BOT) ndg JEETU PATEL,mkataba huo unahusu uingizaji wa matrekta,nilitegemea uadilifu mkubwa toka jeshini kumbe nako kunavujaaaaa.