Jkt ipo kama kawaida......!!

hata mwenyekit na katibu wake wa baraza la mitihan waligoma kufuta matokeo ya 4m4 lakn yalifutwa na matokeo mapya yakatoka,xo hata km vyuo vmexema vtafungua mwez 10,km mjengon wameamua vyuo vtafuata 2,xo tar zakufungua vyuo zisiwape uhakika coz serikal ye2 haijielewi
 
hata mwenyekit na katibu wake wa baraza la mitihan waligoma kufuta matokeo ya 4m4 lakn yalifutwa na matokeo mapya yakatoka,xo hata km vyuo vmexema vtafungua mwez 10,km mjengon wameamua vyuo vtafuata 2,xo tar zakufungua vyuo zisiwape uhakika coz serikal ye2 haijielewi

nimeipenda sana hiii safi GK
 
hata mwenyekit na katibu wake wa baraza la mitihan waligoma kufuta matokeo ya 4m4 lakn yalifutwa na matokeo mapya yakatoka,xo hata km vyuo vmexema vtafungua mwez 10,km mjengon wameamua vyuo vtafuata 2,xo tar zakufungua vyuo zisiwape uhakika coz serikal ye2 haijielewi
 
Alivyosema kuna hadi awamu ya nne nahisi awamu ya 3 na 4 hazitawahusu form six leaver! Maana ni obviously awamu ya nne(january) haitawahusu!
Kumbukeni jkt ni kwa vijana wote(kuna waliomaliza cheti,diploma vyuo mbalimbali)
kwa mtazamo wangu kuanzia october jkt itawahusu kundi lingine nje ya form six leaver!

Ila bado kuna kitu najiuliza
walioko jkt sasa hivi wanasema wanatoka tar 27 sept, na kuna vyuo vinafungua mapema september! Sasa hapo itakuwaje?

bora we umenifanya nzinduke kidogo maana nilizima! ila bado akili haixomi!
 
Alivyosema kuna hadi awamu ya nne nahisi awamu ya 3 na 4 hazitawahusu form six leaver! Maana ni obviously awamu ya nne(january) haitawahusu!
Kumbukeni jkt ni kwa vijana wote(kuna waliomaliza cheti,diploma vyuo mbalimbali)
kwa mtazamo wangu kuanzia october jkt itawahusu kundi lingine nje ya form six leaver!

Ila bado kuna kitu najiuliza
walioko jkt sasa hivi wanasema wanatoka tar 27 sept, na kuna vyuo vinafungua mapema september! Sasa hapo itakuwaje?

ufafanuzi wako ni mzuri,you are a great thinker
 
hata mwenyekit na katibu wake wa baraza la mitihan waligoma kufuta matokeo ya 4m4 lakn yalifutwa na matokeo mapya yakatoka,xo hata km vyuo vmexema vtafungua mwez 10,km mjengon wameamua vyuo vtafuata 2,xo tar zakufungua vyuo zisiwape uhakika coz serikal ye2 haijielewi

hao wa mjengoni sio baba zako hawakusaidia chochote nenda karipoti chuo tarehe zikifika.hayo ni maisha yako watoto wao hawaendi JKT
 
hii ndo Tanzania.........................!


No communication msihofu vijana wenzangu, nendeni na mkifika huko hakuna tofauti na mlipotoka mtafundishwa ukakamavu ambao tayari mmeshafundishwa tokea form 1 mnapofundishwa test tube pasipo onyeshwa nayo ni ukakamavu pia.


huku mtaambia kuna silaha zenye nguvu kuliko hizi (magobole na zingne mlizoshika mikononi wakati huo...) mkitajiwa mifanoo kuna Alex.nder Kalash.kov Machine (AK 47) M 60 siyyo M 23 ile ya.......! ambako hakuna tofauti na mlipotoka.

ONYO : kumbukeni lengo la huko ni kupunguza migomo mkicheleweshewa haki zenu nawaombeni muwe na uvumilivu huo huo mnaoenda kuongozewa huko.
 
hii ndo Tanzania.........................!


No communication msihofu vijana wenzangu, nendeni na mkifika huko hakuna tofauti na mlipotoka mtafundishwa ukakamavu ambao tayari mmeshafundishwa tokea form 1 mnapofundishwa test tube pasipo onyeshwa nayo ni ukakamavu pia.


huku mtaambia kuna silaha zenye nguvu kuliko hizi (magobole na zingne mlizoshika mikononi wakati huo...) mkitajiwa mifanoo kuna Alex.nder Kalash.kov Machine (AK 47) M 60 siyyo M 23 ile ya.......! ambako hakuna tofauti na mlipotoka.

ONYO : kumbukeni lengo la huko ni kupunguza migomo mkicheleweshewa haki zenu nawaombeni muwe na uvumilivu huo huo mnaoenda kuongozewa huko.

Uko darasa la ngapi?
 
Back
Top Bottom