Al-shabaab
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,791
- 617
- Thread starter
- #21
Nauza uraia wangu!
angalia usiuze uarabuni utajuta
Nauza uraia wangu!
mkuu Yeyeli nimefukuzwa somalia nikaja hapa Tanzania sababu hapa amani ipo ila nanyie mmeanza kidogokidogo
Let me pretend i ddnt hear this. .
hii sio nchi nahamia Kenya ,huyu waziri amenivuruga ubongo.
Jkt ataenda yeye na ndugu zake.
Siku imekua mbaya kweli hii!!!
hii sio nchi nahamia Kenya ,huyu waziri amenivuruga ubongo.
Jkt ataenda yeye na ndugu zake.
Nimemsikia aseee.....15000 intake ya 3....itakuja ya 4 yani hakuna atakaekosa mwaka huu asee
kazi ipo...kwani tcu wanasemaje?
wenye navyo watubana inabidi kuvumilia