Tuwe specific, unadhani ni ipi blunder kubwa zaidi aliyoifanya JK katika utawala wake tokea awe rais 2005 up to the present? .Nawasilisha
Tuwe specific, unadhani ni ipi worst blunder kubwa zaidi aliyoifanya JK katika utawala wake tokea awe rais 2005 up to the present? .Nawasilisha
Raadhia S,He has not done anything substantive enough to make him being assessed. So what should we put on the balance for evaluation? In my opinion, he has done more errors than any other president ever lived on the earth.
Haya hayakuwa wakati wa JMK, kumbe wengi humu huwa mnafata mkumbo bila kujuwa mnachokiongea? hayo yalifanyika wakati wa Mkapa, JMK ndiye alipigania mpaka pesa za Radar zikarudi. Kuwa makini kijana.
Liyumba ilikuwa payback time kwa yule kisura wa gauni jekundu. Mahalu na Mramba will walk. Hakuna kesi hapo ya kujibu. Usanii huu tulishaujua siku nyingi.Mramba? Liyumba? Mahalu?
Uchakachuaji? ungesikia Bunge la leo ulivyofanikiwa, ungeona raha.
Yani ni kama anatuambia usanii wake ndo pahala alipokosea...lolLiyumba ilikuwa payback time kwa yule kisura wa gauni jekundu. Mahalu na Mramba will walk. Hakuna kesi hapo ya kujibu. Usanii huu tulishaujua siku nyingi.
Liyumba ilikuwa payback time kwa yule kisura wa gauni jekundu. Mahalu na Mramba will walk. Hakuna kesi hapo ya kujibu. Usanii huu tulishaujua siku nyingi.
1. Kuogopa kufanya maamuzi kama mkuu wa nchi na kusababisha kuyumba kwa nchi na chama chake. Mf. Mafisadi, madaktari,Mramba? Liyumba? Mahalu?
Uchakachuaji? ungesikia Bunge la leo ulivyofanikiwa, ungeona raha.
Mataka kafanya nini? Huyu alifukuzwa kazi na Mkapa lakini kwa sababu alisoma na Kikwete Kibaha nasikia, akampa kazi ATC. Akalitafuna shirikaMataka?
Kikwet ndiye aliyeshinikiza akamatwe. Na hata pale mwenzake alipotoka kwa dhamana Liyumba akarudishwa jela kwa shinikizo yake.Kama hakuna kesi ya kujibu JK anahusikaje? walaumu waendesha mashtaka, na mahakimu na mahakama...do you believe on rule of law??
Kikwet ndiye aliyeshinikiza akamatwe. Na hata pale mwenzake alipotoka kwa dhamana Liyumba akarudishwa jela kwa shinikizo yake.
Kwenye katiba mpya lazima tuweke bayana hakuna rais kuingilia mamlaka ya mahakama.
1. Kuogopa kufanya maamuzi kama mkuu wa nchi na kusababisha kuyumba kwa nchi na chama chake. Mf. Mafisadi, madaktari,
2. Kuangusha kabisa uchumi wa nchi -sasa sh. Yetu haiwezi kunua chochote. Alipoingia madarakani sukari ilikuwa 600/- -700/kmiaka 6 baadae 2500/-
3.kuweka vilaza wenzake kwenye maeneo yote nyeti na kusababisha uhujumu mkubwa wa uchumi ever reported
4. Kushindwa kabisa kutatua tatizo la uhaba wa umeme na badala yake kuja na cheap solutions kama mvua za kutengeneza-kumb.mvua ya Lowasa ya kunua Malaysya, richmond, dowans nk
5. Kushindwa kuwachukulia hatua rafiki zake kwenye mambo makubwa kama rada, richmond, etc
6. Kutumia rasilimali za nchi vibaya-kwenye ziara zake nyingi za nje
7. Kupita na kutangaza kuwa nchi ni maskini huku akiomba asaidiwe akiwa hajafanya lolote kuinua uchumi
8. Mkuu wa nchi kuhongwa suti na mwarabu wa Royal palm...hana utetezi wa maana juu ya hili
9. Kuwa rais wa kwanza duniani mwongomwongo asiyeweza kutekeleza aliyoahidi
10. Kumfanya mwanae awe msemaji na mtendaji wa chama/serikali mara kadhaa huku akinyamaza
11. Kuifanya nchi yetu mahali pa kila mgeni kuja kuchuma na kuondoka, hasa kwenye sekta ya madini na maliasili zingine kama wanyama
12.kuwa rais wa kwanza duniani asiyewahi kuwa serious na mambo serious. Akiona yamezidi anakimbilia nje na kumwachia pinda afanye maamuzi na matokeo yake mnayaona. Kazi kuchekacheka tu
Sawa kabisa hakuna kuingilia mahakama ndio maana hata kama kina mramba watachomoka itakuwa uhuru wa mahakama usimlaumu JK..
Hilo la kushinikiza kukamatwa waseme wewe? can you prove? au uzushi kama kawaida..yenu