Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Yes we have our disagreements kila kukicha lakini inaniuma tena sana kuwa natazama Obama anazungumza kwenye STATE OF THE UNION ADDRESS and i feel ashamed to admit kuwa I'm getting inspired by Obama who Isnt my President...issues kama vile Government responsibility to its people na nimependa aliposema kuwa VETERANS wa USA wanaweza kudownload their digitised medical records online!
Isnt that amazing? JK on the otherhand wanamwongopea tuu kila kukicha. Rais wetu hana website, hatujui nani tumcontact kwenye directorate of presidency Ikulu yetu ambayo inatumia e-mail ya YAHOO.COM! kama tuna suggestions on how better to run our country.
JK if you are reading this please be informed kuwa its never too late to change things na ukawa na legacy ya kudumu kwenye taifa letu.