Rais alionyesha hofu yake kuhusu kuwaruhusu wanafunzi wanaojifungua kuendelea na masomo, ambapo alisema ruhusa hiyo inaweza kuongeza idadi ya mimba shuleni.
"Kuwaruhusu wanafunzi wa kike kuendelea na masomo baada ya kujifungua kutasababisha nusu ya wanafunzi darasani maziwa yawe yanavuja kutokana na watoto wao kulia nyumbani."
"Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe, msifikiri kuwa maadui ni wanaume, wapo wanawake wasiopenda wenzao wapate ambapo huwafanyia hiana kwa madai kuwa watawapita kimaendeleo," alisisitiza.
Kikwete aponda viti maalum
Rais alionyesha hofu yake kuhusu kuwaruhusu wanafunzi wanaojifungua kuendelea na masomo, ambapo alisema ruhusa hiyo inaweza kuongeza idadi ya mimba shuleni.
Kuwaruhusu wanafunzi wa kike kuendelea na masomo baada ya kujifungua kutasababisha nusu ya wanafunzi darasani maziwa yawe yanavuja kutokana na watoto wao kulia nyumbani."
Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe, msifikiri kuwa maadui ni wanaume, wapo wanawake wasiopenda wenzao wapate ambapo huwafanyia hiana kwa madai kuwa watawapita kimaendeleo, alisisitiza.
Kikwete aponda viti maalum
Heading yako inatoa jibu halafu unauliza tukutajie speech gani. Replace heading yako na swali unalouliza ndipo tukuambie ni speech gani ilikuwa bora. Au la ungeulliza ---Katika speech za JK ipi ilikuwa best na ipi ilikuwa worst?Tangu JK aingie madarakani, unadhani ni ipi speech yake nzuri?
Ni kweli amekosea. Mtajie sasa speech mbovu kuliko zote ya kikwete. Sidhani kama kuna speech yoyote ya maana aliyowahi kutoa na mbaya zaidi hana mvuto wa kumsikiliza.Heading yako inatoa jibu halafu unauliza tukutajie speech gani. Replace heading yako na swali unalouliza ndipo tukuambie ni speech gani ilikuwa bora. Au la ungeulliza ---Katika speech za JK ipi ilikuwa best na ipi ilikuwa worst?
Yaani na mimi nilikuwa nawaza hivyo hivyo. JK alitia fora kwenye baraza la Eid...!Speech ya Baraza la Idi to me was the best and a bold one indeed.
Nimefurahi sasa ameweka heading inayoeleweka vizuri.Ni kweli amekosea. Mtajie sasa speech mbovu kuliko zote ya kikwete. Sidhani kama kuna speech yoyote ya maana aliyowahi kutoa na mbaya zaidi hana mvuto wa kumsikiliza.
Speech ya Baraza la Idi to me was the best and a bold one indeed.
Tangu JK aingie madarakani, unadhani ni ipi speech yake nzuri?
Nyingine iliyoniboa ni ile iliyozima mgomo wa uliokuwa umeandaliwa na tucta akiongea na wazee wa dsm. Nafikiri watanzania wote tunapaswa kupimwa akili. tunawezaje kuongozwa na mzee kama huyu.
Tangu JK aingie madarakani, unadhani ni ipi speech yake nzuri?