Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
Wakuu leo JK anatimiza siku 90 ndani ya awamu yake ya pili, in another language miezi 3 au 5% of the entire five yrs of this phase.
1. Je kuna mambo gani makubwa yamefanyika so far? Au yenye mwelekeo kwamba we have a leader who is thinking big?
2. Katika ahadi zake ni ipi ambayo ameanza kuitekeleza at least in that 5% point of view?
3. Serikali mpya imefanya nini kujitofautisha na serikali zilizotangulia?
4. Je ameonyesha "indicators (Viashirizi) zipi so far kwamba hii phase is just different from the previous others?
5. Kwa waliompigia kura je mnaridhika na pace ya awamu hii?
1. Je kuna mambo gani makubwa yamefanyika so far? Au yenye mwelekeo kwamba we have a leader who is thinking big?
2. Katika ahadi zake ni ipi ambayo ameanza kuitekeleza at least in that 5% point of view?
3. Serikali mpya imefanya nini kujitofautisha na serikali zilizotangulia?
4. Je ameonyesha "indicators (Viashirizi) zipi so far kwamba hii phase is just different from the previous others?
5. Kwa waliompigia kura je mnaridhika na pace ya awamu hii?