Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,287
na bado keshn Jmk anapiga zingine na wema na yule mwigizaji wa naijeria aliyemwalika ikulu
kulinganisha jkn na jmk ni sawa na kulinganisha kichuguu na mlima kilimanjaro
View attachment 57482hebu angalia hizi picha unipe wazo yupi ni raisi yupi ..@@@@@@@@@@@@View attachment 57485View attachment 57486
Acheni hizo, JMKalikuwa mtu wa watu toka hapo awali. Tuache ushabiki, kasoro za kiutendaji wa serikali yake hazimuondolei utu wake, bali zinachangiwa watendaji wake na hatua tumeona ameanza kuchukua.
Mnataka afanye nini? Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni bana.