Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,229
- 1,389
Kikwete atasema wapinzani wanasababisha umaskini ktk hii nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani wewe ni nani mpaka umjibie? Luhanjo au? Mimi ni mwajiri wake lazima nimuulize, na nadhani haya niliyomuuliza ndio mambo ya msingi yanayolisumbua taifa kwa sasa, wewe ndugu yetu labda gamba limekufunika macho na masikio huoni wala husikii, lakini ni vizuri tungepata ufafanuzi wa maswala haya.mh rais dr Jakaya Kikwete ana mambo mengi ya kuzungumzia u nani mpaka umwambie rais ajibu maswali yako, kwani uongo yeye ni mvua unafikiri atajazaje maji mtera? Mipango thabitii inahitaji muda sali mvua inyeshe. Hela inashuka thamani kutokana na mtikisiko wa uchumi. Kingine ngeleja ajiuzulu kisa umeme ?? We vipi mke haachwi kwa kosa moja mpeni nafasi.