Habari nilizonazo, JK yupo nchini Denmark kwa ziara ya kikazi, yeyote mwenye habari zaidi?
Mh, jamani huenda kweli kuna ugali wa watoto anaenda kuuhangaikia! Siyo bure itakuwa ni majukumu ya nchi.
bwm................nani ataiokoa nchi hii na upuuzi huu!!