JK ziarani Brazil kwa siku tano (Source TBC1 habari)

Anatafuta recodi ya kuwa rais wa kwanza duniani kutumia utawala wake nusu yake akiwa nje ya nchi yake,

Maana sasa safari yake hii ya brazil ni sawa na mwaka wa NNE kanza nje ya nchi
 
jamani juzi mtoto wa mkulima kasema serikali imeishiwa sasa hebu nijibuni hizi za kusafiria kapata wapi? au amekopa? au ni ofa kapewa?manake kaenda na mkewe sasa najiuliza nauli ya ndege watu 2, kula, malazi pamoja na wapambe wao ni sh ngapi wametumia? halafu tunaambiwa serikali imefilisika. kweli hatuongopewi?
Just for your information, ukiambiwa amesafiri na mke wake huo msafara unakuwa na watu wasiopungua 50 mpaka 100. Hivo unazungumzia bilioni kadhaa
 
Nasikia yule Vasco da Gama kanda Brazil na delegesheni ya watu zaidi ya 300!! Wote hawa wanalipwa posho kwa kutumia kodi za walalahoi. Kwakweli nawashangaa sana wanaoichagua CCM. Maendeleo yatapatikanaje wakati kila kukicha fedha zetu zinatafunwa!! Mwaka 2015 lazima tuwangoe hawa watu madarakani!! Chadema lazima tuungane tuwe timu moja ili kuiondoa CCM madarakani. Mnaikumbuka KANU?
 
Jk jana amewasili nchini Brazil, cha kushangaza nchi nyingi zimewakilishwa na mawaziri wa mambo ya nje au mawaziri wa uwekezaji. Mfano ni Marekani na baadhi ya nchi za Africa, Jk huoni aibu.

Hospital ya Tumbi haina x ray kwa mwaka mzima sasa, kifaa kilichoharibika kinagharimu 37m lakini yeye anatoa rambirambi 10m afu zinatafunwa na wajanja. Tanzania tunakosa priority.

Afu mtu anakuja kumtetea eti JK ni Masiha ebu tuache kuchezea jina la Mungu na kumsafisha huyu mzembe. Hakuna hata siku mmoja hapa duniani atakayefanananishwa na Yesu.

Tungefahamu kwanza kilichompeleka huko ingetusadia kupima umuhimu wa Rais kwenda mwenyewe.

Kila nchi ina vipaumbele vyake na katika vipaumbele hivyo ndipo Rais anaweza kuamua kusisimama yeye mwenyewe kutetea hoja kwa maslahi ya nchi.

Ni kweli safari za Jk haziwezi kuwafurahisha wote lakini tuwe wakweli Rais wetu anatakiwa kuwepo kwenye mikutano ambayo ina marais wenzake tu?
 
utaweza kufananisha uchumi wa MAREKANI na TANZANIA?

Marekani ni taifa lenye uchumi wenye nguvu sio lazima kuwakilishwa na Rais.... kwa mfano mkutano unaohusu Maji na umeme si tatizo kwa marekani Rais wa Marekani anaweza kutuma mwakilishi lakini sisi Rais anaweza kwenda kwa sababu ni hitaji letu kubwa.
 
Cha kushangaza ni kuwa Safari za JK zina gharama kubwa sana huku nchi ikiwa haina dawa wala umeme wa uhakika. Ninadhani Jk atavunja rekodi ya dunia ya Rais aliyesafiri sana nje ya nchi yake.
 
msijali atarudi na jezi za wachezaji maarufu za kipindi hicho kama Ronaldo, Ronaldinho na wengineo...
 
mbona Rais anatakiwa kutoa taarifa kwa umma kabla ya kusafiri safari ndefu kama ya Brazil,hizi safari za huyu msafiri mbona ni za kushtukiza au ndivyo inatakiwa iwe hivyo???
 
mbona Rais anatakiwa kutoa taarifa kwa umma kabla ya kusafiri safari ndefu kama ya Brazil,hizi safari za huyu msafiri mbona ni za kushtukiza au ndivyo inatakiwa iwe hivyo???

Imani za kishirikina zitamponza Mk were
 
Hatuwezi kufanya jambo kwa kujifananisha na marekani.viongozi wetu ni kama wameweka nta kwenye masikio yao!hawasikii.nchi nyingi zimepeleka wawakilishi wao,hii ikiwa ni njia mojawapo ya kupunguza matumizi.sidhani kama kulikuwa na ulazima kwa rais kuhudhuria mkutano huo.
 
hana cha kufanya kufanya hapa nyumbani so mwache aende kuzurura huko brazil ....nani mwenye shida naye hapa...awepo asiwepo hakuna difference yoyote anayoileta katika nchi hii
 
Safari za rais huratibiwa na IKULU; upande wa safari za nje, wizara ya membe huwa inaratibu pamoja na kumwambia umuhimu wa safari husika. Wewe hauna fursa ya kutambua ni lini atasafiri
 
Jk jana amewasili nchini Brazil, cha kushangaza nchi nyingi zimewakilishwa na mawaziri wa mambo ya nje au mawaziri wa uwekezaji. Mfano ni Marekani na baadhi ya nchi za Africa, Jk huoni aibu.

Hospital ya Tumbi haina x ray kwa mwaka mzima sasa, kifaa kilichoharibika kinagharimu 37m lakini yeye anatoa rambirambi 10m afu zinatafunwa na wajanja. Tanzania tunakosa priority.

Afu mtu anakuja kumtetea eti JK ni Masiha ebu tuache kuchezea jina la Mungu na kumsafisha huyu mzembe. Hakuna hata siku mmoja hapa duniani atakayefanananishwa na Yesu.

Tuendelee kusema labda .....labda atajirekebisha.......maana husema sikio la kufa halisikii dawa.
 
hana cha kufanya kufanya hapa nyumbani so mwache aende kuzurura huko brazil ....nani mwenye shida naye hapa...awepo asiwepo hakuna difference yoyote anayoileta katika nchi hii

Nyie watz shukrani zenu kiduchu; JK kawaundia tume ya katiba na kuiapisha ikiwa ni ZAWADI kuhusiana na kilio chenu, hasa CDM kutaka KATIBA mpya, leo mnajikanyaga mwadai tume hatutaki
 
Watanzania kwa nini tusifanye mapinduzi ya kumpinua JK kama walivyofanya wenzetu ma kule Guinea Bissau?mpaka JK anaondoka madarakani umaskini nchini utakuwa umeongezeka kwa kiwango cha juu sana,Watanzania tuache kuwa kama kondoo.
 
Da jaman huyu mtu mi asha nichosha kumfatilia,. Eli ufatilie mambo anayofanya mtoto wa miaka mi4 kwa sku nzima kuliko jk,. Da nakwombea mungu umalize miaka yako utuachie nchi yetu,. Nafkiri tutapata rais ukiondoka jk na hao vituko wenzako,
 
Back
Top Bottom