CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
Tumepishana hii asubuhi kwenye anga za Sardinia(Italy)
Ule ugonjwa wa kuanguka ulimtokea tena anaona aibu kujitokeza hadharani siku mbili hizi, baada ya hapo anaruka tena, si unajua asili ya mbayuwayu kupasua anga kwa kwenda mbele, safari nyingine anazibuni akiwa huko huko angani.Hapa msimtegemee hivi karibuni, mpaka msahau vumbi la Jairo ndiyo anarudi. Ajali za ndege zimekuwa adimu sana kwa viongozi sijui kwanini?
Hata kama amevurunda lakini kumuombea ajali si jambo zuri hata kidogo.
kuweni na utu jama,, kumwombea mtu ajali si jambo jema kabisa na si uungwana
For the last two days sijasikia aliko rais wetu..najua yuko SA, but normally huwa tunaonyeshwa anachokifanya anapokuwa nje ya nchi. Cha kushangaza juzi na jana hatujamuona akirudi au kuambiwa yuko wapi na anafanya nn. Can somebody tell me, where is JK?
Mcheki jukwaa la mambo ya kikubwa!
kuweni na utu jama,, kumwombea mtu ajali si jambo jema kabisa na si uungwana
Ule ugonjwa wa kuanguka ulimtokea tena anaona aibu kujitokeza hadharani siku mbili hizi, baada ya hapo anaruka tena, si unajua asili ya mbayuwayu kupasua anga kwa kwenda mbele, safari nyingine anazibuni akiwa huko huko angani.Hapa msimtegemee hivi karibuni, mpaka msahau vumbi la Jairo ndiyo anarudi. Ajali za ndege zimekuwa adimu sana kwa viongozi sijui kwanini?
Yuko fungate na mjukuu wa mandelaFor the last two days sijasikia aliko rais wetu..najua yuko SA, but normally huwa tunaonyeshwa anachokifanya anapokuwa nje ya nchi. Cha kushangaza juzi na jana hatujamuona akirudi au kuambiwa yuko wapi na anafanya nn. Can somebody tell me, where is JK?
If that's the only way to get rid of the corrupt, greedy and brutal regime...... so be itkuweni na utu jama,, kumwombea mtu ajali si jambo jema kabisa na si uungwana
hivi wewe nchi hii hata rais akiwepo kuna kipya gani unategemea???..kwa tulipofikia hata mtoto mdogo anatawala...for the last two days sijasikia aliko rais wetu..najua yuko sa, but normally huwa tunaonyeshwa anachokifanya anapokuwa nje ya nchi. Cha kushangaza juzi na jana hatujamuona akirudi au kuambiwa yuko wapi na anafanya nn. Can somebody tell me, where is jk?
I aggree because i believe JF is better than that.Ila sitoshangazwa kama kuna watu mmoja mmoja wenye chuki ambazo zinaweza kutafsirika kama "chuki binafsi"DOUGLAS WILLIAM
Kwa nini unamuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mauti? At times, lazima tufikiri kwanza kabla ya kupost mawazo yetu. Unafikiri Mh. Rais hasomi hizi posting zetu? Please, tumtendee haki hata kama kuna baadhi ya vitu haviendi sawa katika nchi yetu.......lakini tuzidi kumuombea afya njema na uzima! Urais si kitu chepesi kiasi hicho!
Kaka hapo penye RED uliandika mwenyewe au kuna mtu amekuandikia?? Unatuuliza aliko, then unatuambia unajua aliko! akili yako iko sawa kweli?
DOUGLAS WILLIAM
Kwa nini unamuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mauti? At times, lazima tufikiri kwanza kabla ya kupost mawazo yetu. Unafikiri Mh. Rais hasomi hizi posting zetu? Please, tumtendee haki hata kama kuna baadhi ya vitu haviendi sawa katika nchi yetu.......lakini tuzidi kumuombea afya njema na uzima! Urais si kitu chepesi kiasi hicho!