Kuna Gamba moja lilikuwa likihutubia kwenye mkutano wa hadhara. Ulipofika muda wa wananchi kuuliza maswali na kueleza kero zao mmojawapo alinyoosha mkono lakini kwa msisitizo akanyoosha na vidole viwili. Gamba kuona hivyo alikasirika na kufunga kikao ghafla kwa kisingizio kuwa amepata dharura.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.