Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii (DK. Mponda),Waziri wa Ushirikiano wa Jumuia ya Africa Mashariki (Sitta) ,Naibu Waziri wa Miundo Mbinu na Ujenzi (Dr. Mwakyembe) na Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI- Manumba) wote hawa wanapaswa kutoswa na JK kwa kuvunja maadili ya uongozi kwa kubishana hadharani mbele ya wanaowaongoza juu ugonjwa wa Dr. Mwakyembe. Sitta anatumia ugonjwa wa mwenzake kujipatia umaarufu baada ya kushindwa uspika na richmond.
Mponda huyu amethibitisha hana uwezo wa uongozi hasa kushindwa kumaliza mgomo wa madaktari na baada ya DCI kukanusha juu ya madai ya Sitta kuwa Mwakyembe hakulishwa sumu alikurupuka na kusema yeye hahusiki na habari hiyo kama Wizara ya Afya HAKUPASWA KUPANUA MALUMBANO.
Manumba alishazoea kuwazima walalahoi ndio maana alijisemea bila kufikiri kumbe akakumbana na washenzi zaidi yake. Mwakyembe tunakuombea upone ila una udhaifu mmoja kukubali imani yako kutekwa na maradhi yanayokusumbua kuwa agenda badala ya kutamka wazi sitaki ugonjwa wangu uwe agenda maana hufaidiki kitu bali familia yako inakosa msemaji mpaka sitta.
Picha inayojionyesha hapa hakuna mtawala mwenye maamuzi magumu. NINGEKUWA MIMI JK NINGEWAPIGA WOTE CHINI ILI WAKALUMBANE MITAANI.
Mponda huyu amethibitisha hana uwezo wa uongozi hasa kushindwa kumaliza mgomo wa madaktari na baada ya DCI kukanusha juu ya madai ya Sitta kuwa Mwakyembe hakulishwa sumu alikurupuka na kusema yeye hahusiki na habari hiyo kama Wizara ya Afya HAKUPASWA KUPANUA MALUMBANO.
Manumba alishazoea kuwazima walalahoi ndio maana alijisemea bila kufikiri kumbe akakumbana na washenzi zaidi yake. Mwakyembe tunakuombea upone ila una udhaifu mmoja kukubali imani yako kutekwa na maradhi yanayokusumbua kuwa agenda badala ya kutamka wazi sitaki ugonjwa wangu uwe agenda maana hufaidiki kitu bali familia yako inakosa msemaji mpaka sitta.
Picha inayojionyesha hapa hakuna mtawala mwenye maamuzi magumu. NINGEKUWA MIMI JK NINGEWAPIGA WOTE CHINI ILI WAKALUMBANE MITAANI.