JK wawajibishe hawa Mawaziri wako

landiis

Member
Jan 30, 2012
8
2
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii (DK. Mponda),Waziri wa Ushirikiano wa Jumuia ya Africa Mashariki (Sitta) ,Naibu Waziri wa Miundo Mbinu na Ujenzi (Dr. Mwakyembe) na Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI- Manumba) wote hawa wanapaswa kutoswa na JK kwa kuvunja maadili ya uongozi kwa kubishana hadharani mbele ya wanaowaongoza juu ugonjwa wa Dr. Mwakyembe. Sitta anatumia ugonjwa wa mwenzake kujipatia umaarufu baada ya kushindwa uspika na richmond.

Mponda huyu amethibitisha hana uwezo wa uongozi hasa kushindwa kumaliza mgomo wa madaktari na baada ya DCI kukanusha juu ya madai ya Sitta kuwa Mwakyembe hakulishwa sumu alikurupuka na kusema yeye hahusiki na habari hiyo kama Wizara ya Afya HAKUPASWA KUPANUA MALUMBANO.


Manumba alishazoea kuwazima walalahoi ndio maana alijisemea bila kufikiri kumbe akakumbana na washenzi zaidi yake. Mwakyembe tunakuombea upone ila una udhaifu mmoja kukubali imani yako kutekwa na maradhi yanayokusumbua kuwa agenda badala ya kutamka wazi sitaki ugonjwa wangu uwe agenda maana hufaidiki kitu bali familia yako inakosa msemaji mpaka sitta.

Picha inayojionyesha hapa hakuna mtawala mwenye maamuzi magumu. NINGEKUWA MIMI JK NINGEWAPIGA WOTE CHINI ILI WAKALUMBANE MITAANI.
 
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii (DK. Mponda),Waziri wa Ushirikiano wa Jumuia ya Africa Mashariki (Sitta) ,Naibu Waziri wa Miundo Mbinu na Ujenzi (Dr. Mwakyembe) na Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI- Manumba) wote hawa wanapaswa kutoswa na JK kwa kuvunja maadili ya uongozi kwa kubishana hadharani mbele ya wanaowaongoza juu ugonjwa wa Dr. Mwakyembe. Sitta anatumia ugonjwa wa mwenzake kujipatia umaarufu baada ya kushindwa uspika na richmond.

Mponda huyu amethibitisha hana uwezo wa uongozi hasa kushindwa kumaliza mgomo wa madaktari na baada ya DCI kukanusha juu ya madai ya Sitta kuwa Mwakyembe hakulishwa sumu alikurupuka na kusema yeye hahusiki na habari hiyo kama Wizara ya Afya HAKUPASWA KUPANUA MALUMBANO.


Manumba alishazoea kuwazima walalahoi ndio maana alijisemea bila kufikiri kumbe akakumbana na washenzi zaidi yake. Mwakyembe tunakuombea upone ila una udhaifu mmoja kukubali imani yako kutekwa na maradhi yanayokusumbua kuwa agenda badala ya kutamka wazi sitaki ugonjwa wangu uwe agenda maana hufaidiki kitu bali familia yako inakosa msemaji mpaka sitta.

Picha inayojionyesha hapa hakuna mtawala mwenye maamuzi magumu. NINGEKUWA MIMI JK NINGEWAPIGA WOTE CHINI ILI WAKALUMBANE MITAANI.


Wewe kweli katili Mwakyembe yuko hoi halafu unataka kumuongezea MACHUNGU?
 
WEWE BILA SHAKA NI GAMBA; Hoja yko ni kumuogopa SITTA na MWAKYEMBE tu huna lingine.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Wewe kweli katili Mwakyembe yuko hoi halafu unataka kumuongezea MACHUNGU?

Kwa nini afanye ugonjwa wake kuwa agenda. kumwadhibu mtu sio ukatili waswahili husema mchelea mwana kulia hulia mwenyewe na Mungu anasema "wote niwapendao huwakemea na kuwarudi"
 
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii (DK. Mponda),Waziri wa Ushirikiano wa Jumuia ya Africa Mashariki (Sitta) ,Naibu Waziri wa Miundo Mbinu na Ujenzi (Dr. Mwakyembe) na Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI- Manumba) wote hawa wanapaswa kutoswa na JK kwa kuvunja maadili ya uongozi kwa kubishana hadharani mbele ya wanaowaongoza juu ugonjwa wa Dr. Mwakyembe. Sitta anatumia ugonjwa wa mwenzake kujipatia umaarufu baada ya kushindwa uspika na richmond.

Mponda huyu amethibitisha hana uwezo wa uongozi hasa kushindwa kumaliza mgomo wa madaktari na baada ya DCI kukanusha juu ya madai ya Sitta kuwa Mwakyembe hakulishwa sumu alikurupuka na kusema yeye hahusiki na habari hiyo kama Wizara ya Afya HAKUPASWA KUPANUA MALUMBANO.


Manumba alishazoea kuwazima walalahoi ndio maana alijisemea bila kufikiri kumbe akakumbana na washenzi zaidi yake. Mwakyembe tunakuombea upone ila una udhaifu mmoja kukubali imani yako kutekwa na maradhi yanayokusumbua kuwa agenda badala ya kutamka wazi sitaki ugonjwa wangu uwe agenda maana hufaidiki kitu bali familia yako inakosa msemaji mpaka sitta.

Picha inayojionyesha hapa hakuna mtawala mwenye maamuzi magumu. NINGEKUWA MIMI JK NINGEWAPIGA WOTE CHINI ILI WAKALUMBANE MITAANI.

mmmmmh kwa style hii Great Thinker wangu nakupeleka Darasa la Chekechea.....Nilidhani utaongelea Constructive Issues kama ukosefu wa nishati ya umeme ambayo imesababisha kuongezeka mno kwa bei za bidhaa kutoka viwandani...Mfumuko wa bei unaotisha...Ukilaza na ukosefu wa mipango alionao nao Waziri wa fedha na wale jamaa wa pale Twin Towers uliofikisha Taifa hili katika hali hii kifedha....Madhara mapana yaliyosababishwa na Mgomo wa Madaktari...

Anyway nakuunga mkono hoja yako...Kwamba u DCI apewe Millya....Waziri wa A.mashariki awe Serukamba...na Naibu waziri wa Nishati awe January...Nadhani hapo Ikulu lazima mtaingia...
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom