Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Nimekuwa nikifuatilia wapambe, makada na viongozi wa CCM hasa kunapo kuwepo matatizo nchini mwetu
wakisema kwa unafiki kuwa wasaidizi wa rais hawamshauri vizuri. Wengine wanadiriki ata kusema kwa mambo madogo ambayo JK naamini anaweza kufikiria mwenyewe, "kinachomwangusha rais ni wale wanaomsaidia" huu ndo wimbo tuliouzoea.
Swali la kujiuliza ni je, rais Kikwete hawezi kujifanyia kazi mwenyewe?
wakisema kwa unafiki kuwa wasaidizi wa rais hawamshauri vizuri. Wengine wanadiriki ata kusema kwa mambo madogo ambayo JK naamini anaweza kufikiria mwenyewe, "kinachomwangusha rais ni wale wanaomsaidia" huu ndo wimbo tuliouzoea.
Swali la kujiuliza ni je, rais Kikwete hawezi kujifanyia kazi mwenyewe?