JK, Unaunda Bomu Ndani ya Nyumba

Goodrich

JF-Expert Member
Jan 29, 2012
2,091
1,177
Siongelei siasa wala Chama cha siasa.

Naongelea hukumu ya ajabu na ya dhuluma iliyotolewa katika kesi iliyokuwa inamkabili Mh. Makongoro Mahanga.

Ni lazima tukubali kuwa hukumu ile ya hovyo ilitolewa kwa maelekezo ya wakubwa, siyo hukumu ya kitaaluma hata kidogo.

Mahakamani yalithibitika mambo mengi ikiwemo Mahanga kukamatwa na masanduku ya kura feki, kutowasilishwa kwa matokeo ya vituo kadhaa, kutozingatiwa utaratibu wa kutangaza matokeo na hata hayo matokeo yaliyokuwepo yalionyesha Mpendazoe ameshinda.

Ninachotaka kusema ni kuwa, usipoiacha haki ifuate njia yake, basi ni lazima kuna malipo yake.

JK hatakuwepo, wala hao vigogo wenzake wa CCM, bali watoto wetu watakuta taifa lililojaa dhuluma, wizi, uonevu na ufisadi wa kila namna.

Tukumbuke hata Somalia haikuwa hivyo zamani.

CCM inataka kuendelea kuwepo madarakani kwa kutumia dhuluma, mauaji, wizi na kila aina ya hila.

Hili ni bomu, tena linaundiwa ndani ya nyumba !!!
 
Poleni na maumivu. Kweni JK ndiye aliyesoma hukumu?. Mmelizwa na jaji baada ya kuona kahushahidi hakatoshi. Nawashauri mjipange upya kukata rufaa. Hongera waziri mkuu mtarajiwa makongoro kwa ushindi.
 
natabiri hatufiki 2015 bila fujo kubwa itayocost maisha mengi ya watu kwa sabab ya upumbavu wa jk
 
Poleni na maumivu. Kweni JK ndiye aliyesoma hukumu?. Mmelizwa na jaji baada ya kuona kahushahidi hakatoshi. Nawashauri mjipange upya kukata rufaa. Hongera waziri mkuu mtarajiwa makongoro kwa ushindi.
acha kuongea pumba wewe
 
wataalamu wa sheria watupe ufafanuzi! kila kitu kinaenda na taaluma sio kubwabwaja tu bila reference ya kitaaluma:wave:
Siongelei siasa wala Chama cha siasa.

Naongelea hukumu ya ajabu na ya dhuluma iliyotolewa katika kesi iliyokuwa inamkabili Mh. Makongoro Mahanga.

Ni lazima tukubali kuwa hukumu ile ya hovyo ilitolewa kwa maelekezo ya wakubwa, siyo hukumu ya kitaaluma hata kidogo.

Mahakamani yalithibitika mambo mengi ikiwemo Mahanga kukamatwa na masanduku ya kura feki, kutowasilishwa kwa matokeo ya vituo kadhaa, kutozingatiwa utaratibu wa kutangaza matokeo na hata hayo matokeo yaliyokuwepo yalionyesha Mpendazoe ameshinda.

Ninachotaka kusema ni kuwa, usipoiacha haki ifuate njia yake, basi ni lazima kuna malipo yake.

JK hatakuwepo, wala hao vigogo wenzake wa CCM, bali watoto wetu watakuta taifa lililojaa dhuluma, wizi, uonevu na ufisadi wa kila namna.

Tukumbuke hata Somalia haikuwa hivyo zamani.

CCM inataka kuendelea kuwepo madarakani kwa kutumia dhuluma, mauaji, wizi na kila aina ya hila.

Hili ni bomu, tena linaundiwa ndani ya nyumba !!!
 
Siongelei siasa wala Chama cha siasa.

Naongelea hukumu ya ajabu na ya dhuluma iliyotolewa katika kesi iliyokuwa inamkabili Mh. Makongoro Mahanga.

Ni lazima tukubali kuwa hukumu ile ya hovyo ilitolewa kwa maelekezo ya wakubwa, siyo hukumu ya kitaaluma hata kidogo.

Mahakamani yalithibitika mambo mengi ikiwemo Mahanga kukamatwa na masanduku ya kura feki, kutowasilishwa kwa matokeo ya vituo kadhaa, kutozingatiwa utaratibu wa kutangaza matokeo na hata hayo matokeo yaliyokuwepo yalionyesha Mpendazoe ameshinda.

Ninachotaka kusema ni kuwa, usipoiacha haki ifuate njia yake, basi ni lazima kuna malipo yake.

JK hatakuwepo, wala hao vigogo wenzake wa CCM, bali watoto wetu watakuta taifa lililojaa dhuluma, wizi, uonevu na ufisadi wa kila namna.

Tukumbuke hata Somalia haikuwa hivyo zamani.

CCM inataka kuendelea kuwepo madarakani kwa kutumia dhuluma, mauaji, wizi na kila aina ya hila.

Hili ni bomu, tena linaundiwa ndani ya nyumba !!!

Issue ya Segerea ni ndogo sana mkuu, huwezi kuelekeza lawama kwa Rais wa nchi ambaye anakabiliwa na changamoto nyingi za kuhakikisha anawafikisha wananchi wake pahala panapostahili. Hivi Mpendazoe na Tindu Lissu nani ambaye ana influence kubwa kisiasa ambaye kama ni kufanyiwa fitina ingepasa awe Mpenzoe au Lissu. Mpendazoe alikuwa ana ushahidi wa kusikia. Tuache kulalama jamani. Kwa tuamini kuwa Majaji walioamua Kesi ya LISSU na kule Songea pia CHADEMA walikula dili na Majaji? Mimi msomi na akili zangu timamu siwezi kuwa na mawazo mgando kama hayo.
 
natabiri hatufiki 2015 bila fujo kubwa itayocost maisha mengi ya watu kwa sabab ya upumbavu wa jk
Hivi MODs huwa wana bann watu wa aina gani jamani. Humu JF tunahitaji zaidi facts siyo matusi,kejeli na upeo mdogo wa mawazo kama huu. Tulishaona watabiri wengi sana akina Shehe Yahaya waliokuwa wakitabiri mambo ya hatari , hawapo tena duniani, angalia unajua mtu kama ninyi huwa mnaondolewa mapema sana na sir GOD.
 
Issue ya Segerea ni ndogo sana mkuu, huwezi kuelekeza lawama kwa Rais wa nchi ambaye anakabiliwa na changamoto nyingi za kuhakikisha anawafikisha wananchi wake pahala panapostahili. Hivi Mpendazoe na Tindu Lissu nani ambaye ana influence kubwa kisiasa ambaye kama ni kufanyiwa fitina ingepasa awe Mpenzoe au Lissu. Mpendazoe alikuwa ana ushahidi wa kusikia. Tuache kulalama jamani. Kwa tuamini kuwa Majaji walioamua Kesi ya LISSU na kule Songea pia CHADEMA walikula dili na Majaji? Mimi msomi na akili zangu timamu siwezi kuwa na mawazo mgando kama hayo.

Kwenye masuala ya sheria huwa kuna kurejea kesi zilizopita. Hivi kesi hiyo ikirejea kesi ya Godbless Lema utapata picha gani?
 
Kwenye masuala ya sheria huwa kuna kurejea kesi zilizopita. Hivi kesi hiyo ikirejea kesi ya Godbless Lema utapata picha gani?

Utapata hiyo hiyo iliyopo and nothing else! na itatumika kama hukumu nzuri au mbaya depending on the situation!
 
Siongelei siasa wala Chama cha siasa.

Naongelea hukumu ya ajabu na ya dhuluma iliyotolewa katika kesi iliyokuwa inamkabili Mh. Makongoro Mahanga.

Ni lazima tukubali kuwa hukumu ile ya hovyo ilitolewa kwa maelekezo ya wakubwa, siyo hukumu ya kitaaluma hata kidogo.

Mahakamani yalithibitika mambo mengi ikiwemo Mahanga kukamatwa na masanduku ya kura feki, kutowasilishwa kwa matokeo ya vituo kadhaa, kutozingatiwa utaratibu wa kutangaza matokeo na hata hayo matokeo yaliyokuwepo yalionyesha Mpendazoe ameshinda.

Ninachotaka kusema ni kuwa, usipoiacha haki ifuate njia yake, basi ni lazima kuna malipo yake.

JK hatakuwepo, wala hao vigogo wenzake wa CCM, bali watoto wetu watakuta taifa lililojaa dhuluma, wizi, uonevu na ufisadi wa kila namna.

Tukumbuke hata Somalia haikuwa hivyo zamani.

CCM inataka kuendelea kuwepo madarakani kwa kutumia dhuluma, mauaji, wizi na kila aina ya hila.

Hili ni bomu, tena linaundiwa ndani ya nyumba !!!
unajua ili ukumbuke ni lazima uwe na akili, kwa hiyo hapa huenda la kukumbuka lisifanyike maana inaelekea kuna hilo tatizo la kwanza!

 
Poleni na maumivu. Kweni JK ndiye aliyesoma hukumu?. Mmelizwa na jaji baada ya kuona kahushahidi hakatoshi. Nawashauri mjipange upya kukata rufaa. Hongera waziri mkuu mtarajiwa makongoro kwa ushindi.

ajabu ya yote mwanasheria mkuu wa serikali na msimamizi wa uchaguzi wameamuliwa kulipa gharama za uchaguzi. Think twice
 
ajabu ya yote mwanasheria mkuu wa serikali na msimamizi wa uchaguzi wameamuliwa kulipa gharama za uchaguzi. Think twice

sijakusoma vizuri. iweje wao ndo walipe gharama zote. aliyeshindwa kesi analipa nn!
Mpendazote mchawi basi!
 
Back
Top Bottom