Goodrich
JF-Expert Member
- Jan 29, 2012
- 2,091
- 1,177
Siongelei siasa wala Chama cha siasa.
Naongelea hukumu ya ajabu na ya dhuluma iliyotolewa katika kesi iliyokuwa inamkabili Mh. Makongoro Mahanga.
Ni lazima tukubali kuwa hukumu ile ya hovyo ilitolewa kwa maelekezo ya wakubwa, siyo hukumu ya kitaaluma hata kidogo.
Mahakamani yalithibitika mambo mengi ikiwemo Mahanga kukamatwa na masanduku ya kura feki, kutowasilishwa kwa matokeo ya vituo kadhaa, kutozingatiwa utaratibu wa kutangaza matokeo na hata hayo matokeo yaliyokuwepo yalionyesha Mpendazoe ameshinda.
Ninachotaka kusema ni kuwa, usipoiacha haki ifuate njia yake, basi ni lazima kuna malipo yake.
JK hatakuwepo, wala hao vigogo wenzake wa CCM, bali watoto wetu watakuta taifa lililojaa dhuluma, wizi, uonevu na ufisadi wa kila namna.
Tukumbuke hata Somalia haikuwa hivyo zamani.
CCM inataka kuendelea kuwepo madarakani kwa kutumia dhuluma, mauaji, wizi na kila aina ya hila.
Hili ni bomu, tena linaundiwa ndani ya nyumba !!!
Naongelea hukumu ya ajabu na ya dhuluma iliyotolewa katika kesi iliyokuwa inamkabili Mh. Makongoro Mahanga.
Ni lazima tukubali kuwa hukumu ile ya hovyo ilitolewa kwa maelekezo ya wakubwa, siyo hukumu ya kitaaluma hata kidogo.
Mahakamani yalithibitika mambo mengi ikiwemo Mahanga kukamatwa na masanduku ya kura feki, kutowasilishwa kwa matokeo ya vituo kadhaa, kutozingatiwa utaratibu wa kutangaza matokeo na hata hayo matokeo yaliyokuwepo yalionyesha Mpendazoe ameshinda.
Ninachotaka kusema ni kuwa, usipoiacha haki ifuate njia yake, basi ni lazima kuna malipo yake.
JK hatakuwepo, wala hao vigogo wenzake wa CCM, bali watoto wetu watakuta taifa lililojaa dhuluma, wizi, uonevu na ufisadi wa kila namna.
Tukumbuke hata Somalia haikuwa hivyo zamani.
CCM inataka kuendelea kuwepo madarakani kwa kutumia dhuluma, mauaji, wizi na kila aina ya hila.
Hili ni bomu, tena linaundiwa ndani ya nyumba !!!