JK tazama mwezio huyu

priceless.jpg
 
Matatizo ya kutokuwa na accurate information ndio vinavyo propel hii notion ya kwamba Obama na JK wanafanana. Hivi kungekuwa na Primaries Tanzania ambapo wananchi (badala ya NEC) wanapiga kura kumchagua mgombea wa chama..Hivi Kikwete angepata nomination ya CCM? Je angeshindwa kwa asilimia aliyoshinda baada ya mchakato wa kupata nomination ya chama? Oh nimesahau kuwa vyombo vyetu vya habari especially radio na TV ambavyo vinawafikia watanzania wengi kuliko magazeti bado havina tradition ya ku grill wana siasa.

Si haki kusema kwamba Obama na JK wanafanana eti kwa sababu wote ni wazuri wa "kuongea". NAKATAA! Nimewasikiliza wote wawili...Inapokuja kwenye kuongea JK haingii hata kidogo kwa Obama. Intellectually, Obama ana uelewa mkubwa kwa sababu ya tabia yake ya kusoma vitabu, majarida, nakala, za wapinzani wake na wale wanaomuunga mkono.

Vile vile, hakuna kampeni ya kisiasa iliyoendeshwa kwa nidhamu na kwa ufanisi na ambayo ime raise hela nyingi kuliko yeyote ile katika historia ya siasa ya Marekani zaidi ya Sen. Obama. Hii kampeni ilianza miaka 2 iliyopita. Miaka miwili ni mingi kuonyesha cracks na flaws na weaknesses za mgombea na watu wanao m support mgombea. Mnaweza ku counter argument yangu kwamba Obama ameraise hela nyingi kwa sababu ni African American candidate. SIO KWELI...hapo mwanzo kabla ya Obama kulikuwa na Jesse Jackson na Al Sharpton...vile vile kukawa na mke wa Raisi ambae blacks wengi wa nchi hii wanamconsider their first "black president" yaani Bill Clinton.

Ingawa Obama huko nyuma alijihusisha na watu ambao hakutakiwa awe na mahusiano nao...ana watu wengi zaidi wenye influence katika jamii kuliko mgombea (mpinzani) wake McCain na nina uhakika akichemsha...tofauti na nyumbani (Tanzania) hawa watu hawataacha kumpasulia ukweli. Nyumbani tuna katabia ka kiss ass. Sidhani watu kama Warren Buffet, Sen. Ted Kennedy, The Kennedy family, Paul Volcker, na Eric Schmidt, kuwataja wachache watakaa kimya wakiona jamaa ana vurunda. Sasa niambie ni nani yuko kwenye circle ya JK ambaye anaweza kumcriticize.
Sioni na sikubali kwamba Obama (should he win) ataweka cabinet yake na watu ili kulipa fadhila...I doubt so. Sidhani ata apoint Chief of staff lege lege...au Treasure Secretary ili apige nae dealz...NO NO NO.
The opposite is true in Tanzania. Indication za kulipa fadhila ziko straight forward na regime ya JK.
Sisemi kwamba uongozi wake utakuwa smooth...hapana..lakini I have confidence kuwa utakuwa one of the best..ofcourse I am in the tank for the guy.
 
Matatizo ya kutokuwa na accurate information ndio vinavyo propel hii notion ya kwamba Obama na JK wanafanana. Hivi kungekuwa na Primaries Tanzania ambapo wananchi (badala ya NEC) wanapiga kura kumchagua mgombea wa chama..Hivi Kikwete angepata nomination ya CCM? .

Kakaka primary zipo lakini sio ktk chama chenu. CHADEMA walitumia Primaries system mwaka 2005.....Mbowe akaibuka mshindi...ofcourse hakuwa na mpinzani mkali lakini iliwapa wanachama wao nafasi ya kutambua wagombea wao....

Tanzanianjema
 
Kakaka primary zipo lakini sio ktk chama chenu. CHADEMA walitumia Primaries system mwaka 2005.....Mbowe akaibuka mshindi...ofcourse hakuwa na mpinzani mkali lakini iliwapa wanachama wao nafasi ya kutambua wagombea wao....

Tanzanianjema

Hongereni CHADEMA kwa ubunifu

Asha
 
Back
Top Bottom